Recent content by LIKUD

  1. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Broo/sister uchawi upo, hata DSM watu wanaroga,Mkurugenzi wa fish point Martin KOMBA alilogwa na anae Jenga biashara kama yake hapo hapo.

    Uchawi ni noma sana ndio maana watu wengine wanaamua kuishi maisha ya kawaida tu wanaogopa kurogwa. Watanzania wana rogana. Wafanyakazi serikalini wana rogana vibaya kuuana kwa kutengezeana ajali za kichawi. Ukitaka kuamini nenda kijiji kinaitwa Ulyanga kipo Lindi huko, kuna sehemu kuna kilinge...
  2. LIKUD

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏
  3. LIKUD

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Alikuwa tayari amerudi kwenye maisha ya Ibada plus alikuwa busy na biashara ya familia ( kuuza mbao pale Buguruni). Her family was against her being in music and all that. Kwa hiyo probability ya yeye kurudi kufanya competition na Sister P ilikuwa 0. Kaacha muziki 2005 hata interviews alikuwa...
  4. LIKUD

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Umri ulishaenda sana asingeweza.. Unajua beef za Hiphop huwaga ni balehe ndio chanzo.
  5. LIKUD

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Ulishaisha muda mrefu sana na Zay B tayari alisha acha muziki almost miaka 20 now
  6. LIKUD

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Kipago maana yake " Tuliza kipapa"
  7. LIKUD

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Alikuwa anamwambia Inspector " Hapana hakuna kutoa papuchi". Chanzo cha beef inasemekana ni Inspector alikuwa anataka Zay B awe nae kwenye mahusiano na Zay B akawa hataki..
  8. LIKUD

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Ngoja ntakutumia link
  9. LIKUD

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    " Hapa hakuna mambo ya nyata" Unajua alimaanisha nini hapo?
  10. LIKUD

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Zinapatikana zote. Zote kali
  11. LIKUD

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Rest In Peace Zaynab
  12. LIKUD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazee na uchawi wa mapenzi. Hii imekaaje?

    🤣🤣🤣🤣
Back
Top Bottom