100 percent facts. Shida ni pale unapokuwa unapiga mishe ambayo ni ngumu watu kutokujua unacho kifanya. Mfano : Muziki, unacheza mpira, mtangazaji kwenye radio au tv, mwanasiasa etc. Hapo lazima na wewe Uwe mchawi.
Wanasema formula namba moja ya kuendelea Afrika ni kuhakikisha haurogeko
Wapo vizuri mno Mwanza kwanza wengi wana nyashi, ngozi laini, wasafi, hawana Mambo mengi na ni waelewa kama unajua kupiga Domo uta wala wengi Sana. Mwezi wa Sita naweza kuja tena Mwanza nipige kambi ya wiki mbili... Siwafuati malaya wanao jiuza, nawafuata mademu wa kawaida ambao sio malaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.