Uchawi ni noma sana ndio maana watu wengine wanaamua kuishi maisha ya kawaida tu wanaogopa kurogwa. Watanzania wana rogana. Wafanyakazi serikalini wana rogana vibaya kuuana kwa kutengezeana ajali za kichawi. Ukitaka kuamini nenda kijiji kinaitwa Ulyanga kipo Lindi huko, kuna sehemu kuna kilinge...
Alikuwa tayari amerudi kwenye maisha ya Ibada plus alikuwa busy na biashara ya familia ( kuuza mbao pale Buguruni). Her family was against her being in music and all that. Kwa hiyo probability ya yeye kurudi kufanya competition na Sister P ilikuwa 0. Kaacha muziki 2005 hata interviews alikuwa...
Alikuwa anamwambia Inspector " Hapana hakuna kutoa papuchi". Chanzo cha beef inasemekana ni Inspector alikuwa anataka Zay B awe nae kwenye mahusiano na Zay B akawa hataki..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.