Recent content by LIKUD

  1. LIKUD

    Nini kilitokea Tanzania tarehe 29 Oktoba 2025? Huu hapa mtazamo binafsi wa Likud.

    Sishangai kwa sababu najua popoma ni kilaza by nature
  2. LIKUD

    Nini kilitokea Tanzania tarehe 29 Oktoba 2025? Huu hapa mtazamo binafsi wa Likud.

    Nitaeleza kwa kwa ufupi kabisa na kwa lugha nyepesi ambayo hata kilaza kama popoma anaweza kuelewa. Kilicho tokea Tanzania hiyo tarehe 29 Oktoba 2025 ni UPEPO MBAYA period. Kwa vilaza 👇👇👇 Tanzania ilikumbwa na UPEPO MBAYA hiyo tarehe 29 OKTOBA 2025. Upepo huo mbaya ukawa reflected kwenye...
  3. LIKUD

    Mtaala wa Shule anayosoma mwanao unasema nini kuhusu jinsi ya kukabiliana na hali ya taharuki kama vugugugu la D9?

    Kama mtaala wa shule anayo soma mwanao upo chini ya Necta basi lazima utakuwa silent kuhusu jinsi ya kusurvive na kuthrive kwenye situation ya taharuki kama vuguvugu la D9 au kama hali iliyo tokea Oktoba 29. Maana mitaala yote ya Necta, point zake huwaga ni zilezile siku zote : 👇👇👇 1. Poor...
  4. LIKUD

    Napenda sana Wanawake wenye Uthubutu kuanzia katika Ngazi za Familia, Jamii na Siasa

    Siku zote hizi najuaga popoma ni mshangazi kumbe na yeye anapenda wanawake
  5. LIKUD

    Ukweli Mchungu: Uki -mstudy kwa makini Mzee Wassira, utagundua kwamba huyu ni Mzee mwenye akili nyingi sana

    Hata wewe unaweza kuamini. You don't need to understand him u just need to feel him
  6. LIKUD

    Ukweli Mchungu: Uki -mstudy kwa makini Mzee Wassira, utagundua kwamba huyu ni Mzee mwenye akili nyingi sana

    Wassira can tell people " Chadema wamekuja na kisingizio cha kujitoa kwenye uchaguzi kwa sababu wanajua wananchi hawawataki wanaitaka CCM" Ataongea katika namna ambayo itawafanya wananchi waamini kile anacho kisema na kuki internalize. This guy is a very great sophist. You don't need to...
Back
Top Bottom