Yes this is what I have been saying. Lissu anateseka bure kuwapigania wa Tanzania ambao hata hawakumbuki kama anae wapigania jela.. Bora aachane na hizo harakati ale Zake maisha
Swali kwako Infropreneur ukigundua mtoto wako wa kiume amekua shoga Je utafurahi ama utakasirika? Kama utafurahi ni kwanini na kama utakasirika ni kwanini?
Picha lina anza mhadhiri wa UDOM anakamatwa na vyombo vya dola kisha kushtakiwa kwa kosa la ugaidi. Je huyo mhadhiri ametenda kosa la ugaidi? Mimi sio mwanasheria ila najua kuwa this case is Res Sub Judice, and therefore very little to comment about that. Hukumu ya Mahakama ndio itakayo tupa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.