Hahahahaaa lumumba bwana mna makengeza ya ubongo, kama ishu ni maji hivi kwa hali ya maji na miundombinu mingine iliyopo katika majimbo ya kongwa, gairo, mpwapwa, mtera na iramba ambayo tangu kuumbwa kwa hii dunia yanaongozwa na kijani mbona hamyaoni?
Mkuu nae anazingua, hivi anaangaika hadi na kauli za watu, anataka aongee yeye tu.
Hadi kusema vyuma vimekaza nayo ni nongwa , Hata kama hali ngumu tuufyate tu hiyo mizinguo sasa na kutaka watu lawama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.