Recent content by Life matters

  1. L

    Naomba kufahamishwa kuhusu mfumo wa ESS Transfer Exchange

    Wadau wana jamiiforum kwa mwenye ufahamu wa huu mfumo wa uhamisho wa ess, Kuna mwalimu nabadilishana nae kutoka wilaya x ila kwangu mimi status inasoma tayari iko Tamisemi ila mwenzangu bado inasoma kwa supervisor na mkuu wak akiangalia halioni hilo ombi. Sasa tunafanyaje hapo ili mkuu wake...
  2. L

    Msaada: Naweza kupata Guest Zanzibar kwa Tsh 50,000 kushuka chini?

    Ndugu zangu ninategemea kuja Zanzibar kipindi cha mwaka mpya, hivi naweza pata guest ama lodge za bei rahisi kweli kama elfu 50 kushuka chini?
Back
Top Bottom