Recent content by licygdfrey

  1. L

    HESLB wameanza kupokea appeals

    Habari za asubuhi! Mi nataka nilipie mpesa hyo 5,000 kwa ajili ya kuappeal,naomba kujua kama natakiwa kulipia kwa kutumia zile steps nilizotumia kulipia ile 30,000/= ya mara ya kwanza au nifanyeje..?naomba kueleweshwa km kuna steps mpya za kulipia mpesa kwa ajili ya kuappeal. Thanks
Back
Top Bottom