Habari za asubuhi! Mi nataka nilipie mpesa hyo 5,000 kwa ajili ya kuappeal,naomba kujua kama natakiwa kulipia kwa kutumia zile steps nilizotumia kulipia ile 30,000/= ya mara ya kwanza au nifanyeje..?naomba kueleweshwa km kuna steps mpya za kulipia mpesa kwa ajili ya kuappeal. Thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.