Bei tu iwe nzuri..tatizo la sisi wabongo tunataka tuwe mamilionear kwa siku moja..you have to set a fairly price ili kutengeneza patnership then mwisho wa siku soko lako linakua
Habari zenu wadau..naitwa David napatikana Ubungo Kona...nina majogoo ya KUCHI na Majike..nimewatoa katika jamii za wasukuma wanaopataikana katika wilaya ya ulanga huko morogoro katika kijiji cha Itete...kama unahitaji nicheki kupitia hii namba 0717578551 kwa ajili ya maelewano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.