JINA LANGU NI KAYANDA NUSU NGESE.
Kwa sasa ninaishi mjini Bujumbura, nchini Burundi.
Kwa heshima na unyenyekevu mkubwa, naomba msaada wa kibinadamu kutoka kwa yeyote atakayesoma ujumbe huu. NATAFUTA NDUGU ZANGU wa upande wa baba yangu mzazi, au yeyote mwenye taarifa kuhusu ukoo wa Mzee Kayanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.