Recent content by leta mada

  1. L

    Nani walioandika na kuthibitisha maudhui ya Quran inayotumika leo?

    mahafidh walikuwa wengi na wengine walikuwa wameandika kipindi cha mtume kama rejea zao Kilichofanyika hapo ni kuunganisha tu zote ziwe sehemu moja Kwahiyo ilikuwa wanafatwa wale ambao wanajulikana kwa uwezo zaidi wanaleta walipohifadhi huku wakiwanyiwa assessment maana hata hao wanaokusikiliza...
  2. L

    Nani walioandika na kuthibitisha maudhui ya Quran inayotumika leo?

    Iliandikwa na maswahaba Baada ya kufariki mtume Muhammad (saw) maswahaba walikubaliana kuikusanya Quran ili iwe kwenye maandishi Hii ilisaidia kuihifadhi kwa urahisi na pia waandishi wake walikuwa ni wale wanaojulikana kwa Kuhifadhi vizuri Quran Maana waliohifadhi ni wengi ila kuna wale...
Back
Top Bottom