Wana JamiiForums nina hii hoja, ''Je Kuna ugumu wa private sector kujihusisha na uwekezaji wa mpira wa miguu nchini Tanzania?"
Kuachana na hoja ya kwamba mpira haulipi lakini je kuna '' bureaucracy '' ndani ya mfumo wa mpira wa miguu unaofanya uwekezaji kuwa mgumu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.