ndugu mwenyewe uaandika kitu ambacho huna huwakika nacho ungekaa kimya tu hivi unavyowateteeni hawa waizi unapata nini huku tukiwa maisha yetu kula yenyewe shida utakuta hata dada yako kwa ufisadi wa hawa watu unakuta anajiuza ili ale halafu wewe ipumbavu unatetea
Hivi mbona tunapenda kujidai kila kitu tunajua mpira tuko ,siasa tuko dini tuko usalama tuko wanganga tuko hivi wewe na umeshawahi kuwa hata balozi wa nyumbakumikumi . yani mtu ambaye ni mshauri wa raisi kwenye chama ,halafu wewe kajamba nini unajiona unajua sana
wanzatazania wacheni ujiga rostam hafai kabisa tangu mwazo nahuyu ndiyo aliymuweka lisu ndani alipozugumzia makaa ya mawe ndiyo anamuadalia nyoka wake bashe awe raisi 2030
Hivi kwakuwa unajua wananchi watanzania bado wako kwenye giza nene la kutojitambua ,hivi mtangazaji amekuwa miaka kumi leo unamfungia ili nini sasa huyu ni mtanzania kama nyiye anawatoto na mke kama nyiye daaaa ila bhana edeleeni kufanya haya ili tuzidi kujifunza maana sisi ndiyo wasenge...
Hawa vijana ni wahuni haswa na hawa ndiyo wanaendesha mangenge ya kuwa watu haswa yani nitabu sana huyu jamaa hafai hata kidogo na ndugu zake wakina mwigulu,mchengere makonda ,sabaya kiujumla wanasiasa vijana waccm ni hatari kuliko tun avyowachukulia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.