Recent content by LENDEYSON

  1. L

    Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

    Kwamba mnaweza kuwakamata Maaskofu? Nimekaa paleeee! Mkitaka mfutike kwenye USO wa hii nchi guseni hata upindo wa vazi la mmoja wao!
  2. L

    Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

    Nitakujibu Na.3. Atasikilizwa Mkubwa, SASA chagua wewe kati ya BAKWATA na TEC nani Mkubwa!
  3. L

    Hukumu dhidi ya Cyprian Musiba versus Membe ilikuwa ya kisiasa na ililenga kuwaziba midomo whistleblowers

    Alikuwa na fursa ya Kukata Rufaa! KWA nini hukumshauri akate Rufaa?
  4. L

    Manispaa ya Tabora kipande hiki cha barabara kimewashinda?

    Kipande cha Barabara cha Town Clinic ni Kibovu tangu nahamia Tabora Mwaka 2019. Ni Kipande ambacho hata Mita 100 hakifikishi, ndicho kinachoingia Salmini, sehemu Muhimu kiuchumi, Diwani wa eneo hilo nae Hakuna anachofanya, Shida ni Nini? Naona mnapambana kujenga Kingo za Barabara ya Cheyo KWA...
  5. L

    Wanaoihujumu ATCL washitakiwe kwa uhaini

    Simung'unyi maneno. Ni shirika ambalo limeshaisababishia nchi Hasara ya Kutosha. Ndege hizi zilisababisha watu wakaumizwa KWA kutoonekana Wazalendo. Shirika hili kufufuliwa iligharimu nchi KWA fedha nyingi sana. Halafu kuna wapumbavu wachache wameamua kulihujumu na kuliua tena shirika hili bila...
  6. L

    Tusipofanya sasa, Tutajuta Milele, ni lazima Wamasai waondoke Ngorongoro

    Hongera KWA kuonesha ulivyo Mpumbavu!
  7. L

    Tusipofanya sasa, Tutajuta Milele, ni lazima Wamasai waondoke Ngorongoro

    Nikuulize wewe. Mimi najua ni miaka 1000/ sasa jiulize wapo hapo miaka 7000/, ni milenia ngapi?
  8. L

    Tusipofanya sasa, Tutajuta Milele, ni lazima Wamasai waondoke Ngorongoro

    Huna Hoja yoyote ya kuwaondoa. Zaidi sana nauona ushabiki maandazi tu kwako. Wameishi na Wanyama KWA milenia zaidi ya 7, leo Ndio unashangaa wao kuishi na wanyamapori? Hiyo ni Akili kweli? Huoni hiyo ndiyo uniqueness yao na hivyo wanapaswa kulindwa? Ngorongoro ni ya wanangorongoro. Na KWA nini...
  9. L

    Tusipofanya sasa, Tutajuta Milele, ni lazima Wamasai waondoke Ngorongoro

    Hayo maeneo mnaonaje mkawapeleka Wanyama? Kama kule Burigi?
  10. L

    Tusipofanya sasa, Tutajuta Milele, ni lazima Wamasai waondoke Ngorongoro

    Ngorongoro imepakana na Manyara na Serengeti. Ili ife, inabidi uziue zote hizi pamoja na Masai Mara ya Kenya nayo itakufa. So, hamna Hoja yoyote ya kuwaondoa watu Ngorongoro. Mkitaka waondoeni Waarabu na Mahoteli yote Ngorongoro.
  11. L

    Tusipofanya sasa, Tutajuta Milele, ni lazima Wamasai waondoke Ngorongoro

    Unique feature ya Ngorongoro ni mchanganyiko wa Wanyapori na Binadamu. Na Ndio maana likaitwa eneo la Hifadhi. Wamasai wamekuwa Wahifadhi wa Wanyamapori KWA sababu wao HAWAWINDI WALA KUUWA WANYAMAPORI, it has been so for decades, ila KWA sasa kuna "Wamasai Waarabu na Wazungu" Ndio wanaowinda na...
  12. L

    Tusipofanya sasa, Tutajuta Milele, ni lazima Wamasai waondoke Ngorongoro

    Ondoeni Wawindaji na Mahoteli yanayoota kila kukicha, ondoeni watu ambao sio Wamasai Ngorongoro, baada ya hapo hizo shida zote hamtazisikia.
  13. L

    Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

    Kwanza ondoa notion uliyonayo kichwani kwamba watu wanavamia Ngorongoro. Wavamizi ndani ya Ngorongoro ni the so called "Investors" wenye mahoteli na Campsites. Wamasai wanaozungumziwa wapo hapo zaidi ya miaka 7000/ Tunazungumzia miaka kabla hata Yesu hajaandaliwa kuja duniani! Vizazi na vizazi...
  14. L

    Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

    Ngorongoro maana yake ni nini? So hiyo ndiyo inayo justify wao kuwa evicted? Why don't you evict foreigners and their "conservational investments"?
Back
Top Bottom