Recent content by LEMOMO

  1. L

    Diwani wa Kata ya Sombetini (CCM, Arusha) ahamia CHADEMA

    Kagame, USIJIDANGANYE CDM NI CHAMA MAKINI SANA SI KAMA UNAVYOFIKIRI, NA MWISHO WA CCM NDIO HUU, USIANGALIE CDM KAMA CDM ANGALIA WATANZANIA WANATAKA NINI.HICHO CHAMA CHA MAFISADI CCM KIMESHAKUFA. NA WANANCHI NDIO WAAMUZI WA MWISHO WAKIAMUA LOLOTE HAITABADILIKA KAMWE.
  2. L

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    kweli Komba tena naweza kusema matunguri
  3. L

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    Ndugu mjengwa nikueleze tu kwamba utapandisha presha bure ccm haikubaliki na watanzania hawadanganyiki tena, ni lini uliwahi kuona mahkama zetu zimetenda haki na kwa udhibitisho gani? wewe kama mtanzania mzuri mwana ccm mzuri na una haki ya kugombea popote Tanzania njoo uchukue hili jimbo kwa...
  4. L

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    Wanajamii, kwanza napenda kuyaweka haya kama kiangalizo kwa ccm wakati wana kauli mbiu maisha bora kwa kila mtanzania wakumbuke kwamba hawa watanzania si wajinga kama wanvyofikiri, wamechoka ahadi zisizotekelezeka takribani miaka hamsini, kila kukicha maisha yamezidi kuwa magumu badala ya petrol...
  5. L

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    ninachojua ccm wanazidi kujidhalilisha kwa kuwa kamwe hawtapata hili jimbo tena katika uhalali wowote labda wahamishie polisi wote hapa arusha na mabomu yao ya machozi yote alafu waibe kura wabandike zao za wizi lakini hata hivyo itakuwa ngumu kwa kuwa wana Arusha wako tayari kufa kuliko...
Back
Top Bottom