unabisha tu lakini mapungufu unayo makubwa hasa ya kiufahamu ndugu...
jamaa kamaanisha una mapungufu hasa ya kutafakari pale ulipotoa kejeli na kusema hawajaelimika mikoa hiyo na hata kielimu wako nyuma..na sababu ya kusema haya ni huyo mtu kupiga mapanga ndyo maana ukawashusha watu wa huko...
naam nam kaka..
umesema kweli..
hukmu ya kula nguruwe dhambi zake ni kama mtu kuzini na kunywa pombe na ni katika madhambi makubwa ambayo mtu hasamehewi mpaka aombe toba kwa mungu na kuweza azma ya kutorudia ....
ila ikiwa bado unakunywa alafu huoni tatizo lakini nguruwe ndo unaona haramu hapo...
hiyo sawa mkuu ukipiga moja tu inakuwa yale mabaki hayana njie engine ya kuingia huko...
mkuu samahani wewe ni dini ipi?
samahani kama utanielewa vibaya lakini kuna jambo nataka nikuambie
mkuu hata kama umenizidi umri na majukumu basi jua nahtajia maoni yako na sio kuishia kunishusha kama hivi ....
ndyo mana nikaleta hapa ili nyie wazoefu mtupe uzoefu ..
bujibuji nakutegemea mtu wangu..karibu kwa maoni
ni kweli mkuu na hata zile manii zinazobaki baki baada ya goli hazina uwezo wa kutungiza mimba kwa sabau manii inayoweza kutungisha mimba ni ile iliyokuwa katika spidi ya kutoka na ikapita ndani ya uke kabisa...ama ile tu ya mabaki haina spidi yeyote ile ya kupika huko..
lazima ngoma isokomezwe...
usalama nao wana vitengo vyao pia...
kuna wale ambao utawaona kwenye misafara kwa waheshimiwa na viongozi wakubwa ...na wale ambao hao ni wasiri siri hao sasa kumjua pana tatizo na huwenda akaajiriwa hasa akawa mualimu au akaenda kozi jeshi na akapiga mzigo hasa kumbe kuna anachotafuta...
sasa...
hii naikubalimkuu..
kuliko kavu kavu tu ..alafu si unajua kwa sisi baadhi yetu kuna yale makata maver sasa kwa karatasi tupu sidhani kama yatasafika....
habar wadau..naomba wajuzi na waalim waje watupe maoni
kuna binti katulia ni mwalimu japo ajira bado..lakini najiuliza kwenye kulea watoto anaweza kulea bila mfanyakazi(au kijakazi kwa mujibu wa nabii titto)
mana hofu yangu kubwa kijakazi akija ndani ya nyumba si tutamlipa?
kwa hvyo kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.