Habari za muda huu ndugu zangu,
Kwa majina naitwa Leilah binti wa miaka 23 jinsia mwanamke. Lengo la kuandikia ujumbe huu ni kuomba msaada wenu wakubwa. Nina u1hitaji wa ajira yoyote ile nitafanya (am strong enough)nitafanya kwa uamanifu na heshima ya hali ya juu
Kuhusu elimu pia nimesoma hadi...
Habari za mda huu wapendwa,
Mimi ni binti wa miaka 23. Elimu yangu ni kidato cha sita, niko hapa kutafuta ajira yoyote ile sichagui kibarua ilimradi kiwe na mazingira mzuri ya kazi (am hardworking na ntaipenda kazi yangu)
Napenda kuwasilisha ndugu zangu🙏Mkoa dar es salaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.