Tulipoteza mtoto wa miezi 8 iliopita, mke wangu wakati ananyonyesha alikuwa hapati hedhi (najuwa ni kawaida ) ila hivsasa hanyonyeshi miez 8 sasa ila hedhi imegoma kutokea kabisa.
Imesemwa kuwa ni tatizo la homon na akapewa vidonge vya kutumia mwez mzma lakin hakukuwa na unafuu.
Nilimpa dawa...
kuhus kuona dalil yyte ya pnemonia au kuumwa chochote hapana kwakwel alikuwa normal tu ,zaid vimafua kidg ,ktk uhai wake hakuwah kuumwa hata homa au joto kupanda ht siku moja zaid ya wakat ana miez 5 alikohoa siku mbili na mafua tukampa dawa na akakaa sawa ,ila siku alipozidiwa tupo pale...
nashkuru kwa maelezo mazur ,sikuio aliamka vizur tu ndipo mamake alimkalisha kumnyomyesha mara ya kwanza akanyonya vizur ,mara ya pili akajitahid kuvuta maziwa akashindwa akayarusha dizain ya kutapika ,toka hapo hal ikachange akawa anapumua kwa shida sana ,na mara chache akawa anatoa milio kama...
ni kwel kifo kilifika lkin pale hospital ya magereza aliteseka sana imagine lisaa lizima watu sita wanahangaika kutafta mshipa hawauon wameishia kumnyoa nywele na wakaogopa kumchoma sindano ,oxygen hawana inauma sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.