Recent content by leekingroy

  1. leekingroy

    Naanzisha kampeni ya kumuomba Rais Samia amuondoe Mwigulu Wizara ya Fedha

    I have lost faith in this current government and it's cabinet. I feel very unsafe financially, sirikali inakukamua mpaka inakufanya maskini kwa Tozo ambazo huoni matokeo yake.. Makusanyo ya kodi za Umeme, Mafuta, Maji, Majengo, Ushuru wa Bandari na mipaka ni makato ambayo yana uwezo wa kuinua...
  2. leekingroy

    SoC02 Je, Afrika ni dampo la uchafu wa wazungu?

    UTANGULIZI Africa ni bara lenye Rasilimali za kutosha ambazo wazungu huzitumia kutokana na kwamba sisi watu wa Afrika tumeshindwa kuona umuhimu wake na mwishowe wanatengeneza bidhaa na kuzitumia wao na zikisha poteza thamani basi hurudisha Afrika na kutuuzia uchafu wao na kusema ni Imefanywa...
  3. leekingroy

    SoC02 Bidhaa zisizo halisi (Genuine)

    UTANGULIZI Tanzania ni nchi inayo pokea bidhaa nyingi sana ambazo si halali kutoka kwa watengenezaji bidhaa hizo kama vifaa vya umeme na nyenzo za kazi. BIDHAA ZISIZO HALISI Bidhaa nyingi zinazo ingia nchini kutokea China na maeneo mengine ulimwenguni asilimia kubwa sana huwa ni bidhaa zisizo...
  4. leekingroy

    SoC02 Changamoto za Elimu ya Tanzania

    Views are welcome..
  5. leekingroy

    SoC02 Changamoto za Elimu ya Tanzania

    UTANGULIZI ELIMU YA TANZANIA Elimu ya Tanzania ni elimu ya kumjenga mwanafunzi kitaaluma ila sio kujitegemea. Asilimia kubwa sana ya wanafunzi wa Tanzania hawatumii elimu waliyo ipata katika masomo yao kujinufaisha katika maisha baada ya kuhitimu elimu katika ngazi yoyote ile. Elimu ya VITENDO...
Back
Top Bottom