Wana jf naombeni msaada wenu ivi barua za maombi ya kazi zilizotangazwa na jeshi la magereza inatakiwa kutype au kuandika kwa mkono. Nauliza ivi mana hawa waajiri huwa wanatafuta sababu zisizo na msingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.