Husika na kichwa cha habari hapo juu
Mimi ni Binti wa miaka 28 natafuta kazi ya house maid,Nina uzouefu wa kazi hii kulea watoto wa rika zote kuanzia wachanga na Nina Upendo sana na watoto,kupika vyakula mbalimbali vya kitanzania,kufanya usafi n.k
Napatikana dar es salaam kwa mswali au maelezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.