Recent content by lata dotto

  1. lata dotto

    Kilimo cha dengu

    Habar wadau naomba kujua soko la dengu kwasasa Niko na tons zaid ya kumi 0655822814[emoji338]
  2. lata dotto

    Kilimo cha dengu

    Kama unataka kukichukia kilimo Cha dengu ruhusu maji shamban kwako
  3. lata dotto

    Kilimo cha dengu

    Vip Tayal mmeshakamilsha hyo process yenu
  4. lata dotto

    Kilimo cha dengu

    @sawima naskia sku Hz Kuna booster kama vile supergro na nk. ambazo zinaongeza mavuna Ila sjawah tumia lkn kwa uzoefu wangu wa kulima dengu 1 hekta Inatoa Gunia 5 had 7 upande wa Bei 2000 had 4000 hii Bei huwa inakuwa kubwa hasa vijijin pind msimu wa kulima unapofika huwa debe linauzwa Hadi...
  5. lata dotto

    Kilimo cha dengu

    @Babalao dengu kama imetunzwa vzur Inatoa Gunia 5 had 7 sio debe mbili
  6. lata dotto

    Kilimo cha dengu

    [emoji1][emoji1][emoji1]
  7. lata dotto

    Kilimo cha dengu

    Jamaa ni muongo Ila na ww ni muongo sana wote mnatakiwa mchapwe viboko mnadanganya mno Heka moja ya dengu inatoa Gunia 5,6had 7 bas
  8. lata dotto

    Kilimo cha dengu

    Hekar moja ya dengu kama imestaw vilivyo hutoa Gunia 5 had 6
Back
Top Bottom