Recent content by last Commando

  1. last Commando

    Wanaokaa vijiweni wengi ni kujiliwaza

    Siye wengine mishe zetu tunazipata kupitia hapo hapo kijiweni. So kila mtu aafanye anachokiamini. Acha sisi tuendelea kubaki kijiweni maana hapo ndipo tunapopata vibarua vidogovidogo vya kusukuma siku
  2. last Commando

    Unapoanza kusikia maumivu jua mafanikio yapo karibu

    Sawa mkuu [emoji1488] ngoja tupambane kimya kimya
  3. last Commando

    Unapoanza kusikia maumivu jua mafanikio yapo karibu

    Tushatoswa na tunawapenda, ila yote kheri. Tunapambania kombe kesho yetu iwe bora
  4. last Commando

    Unapoanza kusikia maumivu jua mafanikio yapo karibu

    Ameen Ameen [emoji1488][emoji1488] inshallah yote kheri
  5. last Commando

    Unapoanza kusikia maumivu jua mafanikio yapo karibu

    Sawa mkuu[emoji1488][emoji1488] Dua muhimu sana
  6. last Commando

    Unapoanza kusikia maumivu jua mafanikio yapo karibu

    Hizi Kazi bila ubabe haziendi. Mabosi wengi michosho malipo hawafanyi kwa wakati. Acha tu ndugu tuishi tu hivo hakuna jambo linalodumu yote yataisha tu
  7. last Commando

    Unapoanza kusikia maumivu jua mafanikio yapo karibu

    Ameen Ameen[emoji1488][emoji1488] na iwe hivyo
  8. last Commando

    Unapoanza kusikia maumivu jua mafanikio yapo karibu

    Kila mtu na imani yake acha sisi tuongeze juhudi kwenye utafutaji wetu tunaamini kesho yetu uwenda ikawa bora zaidi ya jana na leo broh!
  9. last Commando

    Unapoanza kusikia maumivu jua mafanikio yapo karibu

    Okay broh! Acha tujikongoje. Ila kesho lazima iwe bora zaidi ya leo. No matter what![emoji1488]
  10. last Commando

    Unapoanza kusikia maumivu jua mafanikio yapo karibu

    Kwahiyo unataka kuniambia nitateseka mpaka kufa kwangu! Siyo? What do you want from! I got this life , na ni jukumu langu kuhakikisha nina fanikiwa no matters what![emoji1488]
  11. last Commando

    Unapoanza kusikia maumivu jua mafanikio yapo karibu

    Tuwe na imani tu kesho uwenda ikawa bora zaidi ya jana.
Back
Top Bottom