Recent content by LaRosa

  1. LaRosa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Simba ana 1.54 naweka 50000...potelea pote.
  2. LaRosa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Leo nilikuwa najaribu hisia zangu tu. Sijui nikacash out nikanywe bia nne tu?
  3. LaRosa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii option ya handicap ikoje...nisaidieni nataka niweke laki 100,000
  4. LaRosa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi ÷1.5 Asian handicap inamaanisha nini?
  5. LaRosa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huyu huwa nampasua vizuri tu... ametoka kupasuka laki 9 wiki zilizopita. Nammudu leo nimemsaka nataka milion 86.
  6. LaRosa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Leo aidha mimi au sportybet..mmoja lazma atoke damu.
  7. LaRosa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kampuni ziko kibao zinatoa bonus kibao. Hameni huoo Betpawa mtafilisika kama mlishindwa kumla akiwa na odds kibao mnadhani sasa hivi mtaweza?
  8. LaRosa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naisaka milion 80 na ushee.. ipo siku Mhindi atauingia mkenge tu. Naanza mwezi huu hadi miaka miwili iishe lazma kuna siku atajichanganya tu. Ehee Majini yangu Tawile...
  9. LaRosa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Betpawa hawana bonus bado mnabetia tu? Kampuni imefilisika? Its better sportybet
  10. LaRosa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Chukua hizo odds elfu 56...fanya maboresho kidogo ishi nalo treni. Huwezi jua ya Mungu mengi na Betting ni purely lucky na sio Science. Sio kila siku Mhindi atakuwa na Bahati yeye.mm kuna siku atauingia mkenge tu. 97A2F3 Sportybet hilo.
  11. LaRosa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii ndio yenyewe, Tafuta pesa nyingi zaidi. Mfano mimi imesoma milion 85. Akinipa Cashout ya milion 30 nachukua. Sitafuti milion 2 maana nnazo, natafuta pesa ambazo sina na nikizipata nitaacha kubet. Sitaki kuwa kama PDiddy. Ana mwaka wa nane anatoa Tips kali ila hajawahi kubutua hata milion 50...
  12. LaRosa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii ina odds ngapi mkuu?
  13. LaRosa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Namaanisha hapo nilipoweka duara...je ni ni odds ngapi na kwa hiyo stake sijajua nitashinda jumla kiasi gani nikitoba?
  14. LaRosa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi hapa ndio inamaanisha odds ngapi? Maana sielewi
  15. LaRosa

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ndio maana ukiweza kutravel mbele ya muda unakuwa tajiri mapema tu.
Back
Top Bottom