Recent content by Laoshi Laoban

  1. L

    KERO Changamoto ya Mifumo Kutosomana kati ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) na Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA)

    Mimi ni yatima wa wazazi wote wawili. Tangu tarehe 16 Julai 2025 nimekuwa nikijaribu kuomba mkopo wa elimu ya juu (ngazi ya shahada) kupitia mfumo wa HESLB, bila mafanikio hadi sasa ninapoandika ujumbe huu. Nikiwa Karagwe, nilianza mchakato wa maombi kwa njia ya mtandao. Kila nilipoingiza RITA...
Back
Top Bottom