Jaman tuko pamoja ila me hata nauli ya kuja huko dar cna..! Ni zaidi ya laki moja afu wananiambia nikajisomeshe fees mil 1.5 bado meals na accomodation.! Hili ni janga la jamii
Inauma,me nilisoma private kwa wazazi wangu kuuza ardhi,nikamaliza 2010 nikaomba mkopo wakabana, nikapostpon e chuo,nikaaply tena mwaka huu wakagoma eti NOT SECURED...! Sasa ntafanyaje na kuna wadogo zangu wananitegemea japo niwasaidie kwani hamna cha kuuza tena.! Hivi kweli elimu ni ufunguo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.