Recent content by Lakikunene

  1. Lakikunene

    Natamani hata kuondoa uhai wangu

    Ahsante sana mkuu
  2. Lakikunene

    Natamani hata kuondoa uhai wangu

    Ahsante sana mkuu ila nikifikiria sina hata pakuanzia boss
  3. Lakikunene

    Natamani hata kuondoa uhai wangu

    Mkuu nilikuwa namawazo kupita kiasi imagine ghafla ulipokuwa unategemea pakaondolewa
  4. Lakikunene

    Natamani hata kuondoa uhai wangu

    Stanbic bank ndugu
  5. Lakikunene

    Natamani hata kuondoa uhai wangu

    Vizuri kunilaumu yote tisa ukweli naujua mimi dada yangu ila mimi siyo mlevi
  6. Lakikunene

    Natamani hata kuondoa uhai wangu

    Qualification zangu mkuu mimi nilisoma diploma chuo fulani(Public administration and management)na sikupata ajira kwa zaidi ya miaka 5 sasa ndio nikaamua kujichanganya kwenye kampuni ndio ikawa hivyo
  7. Lakikunene

    Natamani hata kuondoa uhai wangu

    Sawa ahsante kwa ushauri boss
  8. Lakikunene

    Natamani hata kuondoa uhai wangu

    Huwa sinywi pombe kiasi hicho
  9. Lakikunene

    Natamani hata kuondoa uhai wangu

    Nilijikuta msongo wa mawazo tu
  10. Lakikunene

    Natamani hata kuondoa uhai wangu

    Wadau habari zenu, Wadau mimi nikijana (28) nilikuwa nafanya kazi kampuni fulani ila ikafika muda tukapunguzwa kazini, lakini pia nilikuwa nimesave kiasi cha kama laki 7 kwenye account yangu benki, ikumbukwe pia kipindi chote hicho sikuwa na hata pakuishi hata simu niliyokuwa natumia ilikuwa ya...
Back
Top Bottom