Qualification zangu mkuu mimi nilisoma diploma chuo fulani(Public administration and management)na sikupata ajira kwa zaidi ya miaka 5 sasa ndio nikaamua kujichanganya kwenye kampuni ndio ikawa hivyo
Wadau habari zenu,
Wadau mimi nikijana (28) nilikuwa nafanya kazi kampuni fulani ila ikafika muda tukapunguzwa kazini, lakini pia nilikuwa nimesave kiasi cha kama laki 7 kwenye account yangu benki, ikumbukwe pia kipindi chote hicho sikuwa na hata pakuishi hata simu niliyokuwa natumia ilikuwa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.