Recent content by ladslaus vicent

  1. ladslaus vicent

    MATIKITI .

    Karibu kwa jumla na reja reja. Tumeshusha mzigo toka Shamba. Tupo tandare sokoni. Ewe mkazi wa jiji la dar popote ulipo . tupigie 0682665574 au 0765054826... Huna aja ya kwenda temeka mzigo uko karibu kwa sh. 1000 kwa 2000 .pia offer za 500 utapata. Ewe Mjasliamali changamkia fursa utaenda...
  2. ladslaus vicent

    Matikiti yanauzwa

    Karibu sanaaaa. Najua mtaani utauza kwa 4000 au 5000
  3. ladslaus vicent

    Matikiti yanauzwa

    Tikiti zinauzwa kwa bei nafuu. Jumla na reja reja sh.. 1000 kwa 2000 pia kwa 500 utapata. Tumeshusha mzigo pale tandare sokoni nyuma kidogo ya mazense. Piga simu. 0682 665574 au 0765054826...mzigo upo wa kutosha usafiri tutakushughulikia..karibu sana
  4. ladslaus vicent

    Pata piki piki kwa bei nafuu nawe uwe mjasiliamali.

    Pikipiki aina ya sunlarg, cc 125-5, imetumika kwa miezi 8 tu,. Imesajiliwa kwa muundo wa sasa wa MC, haidaiwi kodi, adi mwezi January.. Iko imara sana kwa matumizi ya Bodaboda na nyumbani. Bei ake sh. 1,200,000.. Mawasiliano ni 0682665574 au 0765054826. Changamkia fursha tusonge mbele kijana...
  5. ladslaus vicent

    Kibanda cha Mpesa kwa bei chee

    Naamini majibu yote nimetoa. So anaitaji atAntafta kwa 0682665574.
  6. ladslaus vicent

    Kibanda cha Mpesa kwa bei chee

    Laki 2 au 2 na nusu. Inatosha kuanzia
  7. ladslaus vicent

    Kibanda cha Mpesa kwa bei chee

    Acha imani izo. Mwamini Mungu tu.
  8. ladslaus vicent

    Kibanda cha Mpesa kwa bei chee

    Nipo tegeta kwa ndevu .kama Mpesa peke ake laki na nusu
  9. ladslaus vicent

    Kibanda cha Mpesa kwa bei chee

    Iyo kazi uaminifu tu kwa mfanyakazi wako kutunza ela. BT kama unafanya mwenyewe akuna changamoto , kama una mtaji kaki 2. Jioni ukifunga lazma ionekane iyo laki 2 . so ukimwajili mfanyakazi akikisha ela uliyompa kila SKU ndyo iyo iyo. Adi mwsho wa mwezi utapolipwa commission
  10. ladslaus vicent

    Kibanda cha Mpesa kwa bei chee

    Nipo na kazi za project field mkuu. So nalazimika kusimamia iyo project kwa takribani miezi 6. Sitaki kuwa mchoyo na wenzangu wafaidi.
  11. ladslaus vicent

    Kibanda cha Mpesa kwa bei chee

    No. Ni 0682 665574. Chamkia fursa.
  12. ladslaus vicent

    Kibanda cha Mpesa kwa bei chee

    Pata kibanda cha Mpesa kwa bei raisi, pia line za Mpesa zipo na kama ujue kufanya biashara hii nitakufundisha vzuri. Kibanda ni TSh. 150,000 na line za Mpesa na airtel ntakupatia zote kwa Tsh.250,000. Karibu na wewe ufaidike na kujiajiri.
  13. ladslaus vicent

    Nauzaa photocopy machine

    Ncheki kwa 0682665574 naitji iyo machine.@dixon
  14. ladslaus vicent

    Nauzaa photocopy machine

    Ncheki kwa 0682 665574 tufanye busness
Back
Top Bottom