Umasikini walionao hawa wachumia tumbo wa Lumumba ni uwezo wa kujibu hoja, unaitukana dini kwa vile taasisi ya dini imemsema mkulu! wakati huo huo huyo boss wenu mnayemtii kama nyampala anataka aombewe na viongozi hao hao unaowashabulia kwa kulinda mkate wako.... SHAME,
Kaka unapata tabu bure kumuelewesha hawa watu wanaofikiria kwa kutumia matumbo huwa hawaelewi, hata kama uo unyama angekuwa anafanyiwa mama yake mzazi bado angekuwa upande wa utawala huu dhalimu wa kutesa watu.
Ili mfumo wa ukusanyaji wa kodi uwe endelevu; jitihada za kukusanya kodi ziendane na elimu kwa mlipa kodi. Msisitizo wa uzalendo wa kulipa kodi uende sambamba na ustawi wa walipa kodi katika shughuli zao za biashara. Mivutano isiyo na tija kati ya walipa kodi (wafanya biashara) na mamlaka ya...
Duh... awamu hii tutaona mengi, ............Pamoja na ukuaji mzuri wa uchumi, Taifa bado linakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwamo ukosefu wa ajira kwa vijana, kiwango cha umaskini bado kiko juu, ukuaji mdogo wa sekta ya kilimo na kupungua kwa mikopo ya benki za biashara kwa sekta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.