Wakati uzinduzi wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ukitarajiwa kufanyika Mkoani Kigoma, Julai Mosi, 2024 imeelezwa uboreshaji utaanza siku hiyohiyo na kuendelea katika Mikoa ya Katavi na Tabora, ikifuatiwa na Kagera na Geita
Mkurugenzi wa Uchaguzi, Ramadhani Kailima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.