JamanI naomba ushauri Kati ya Chuo cha afya Lugalo na kibaha kipi kizuri zaidi cha kwenda make mdogo wang kapata hivyo vyote wamemuhita sasa kipi kizuri cha kwwnda?
Na je, ada zao zipo sawa ama zinatofautiana? Diploma ya Clinical Medicine? Msaada tafadhali
Sidhani! Make ukiangalia kitabu chao cha TCU wamespesfy kabisa kwamba a minimum GPA of 3.0( NTA level 6) sasa ingekuwa average wacngefanya specification ya kuweka NTA level 6 kwa blackets
Jamani naomba kujua kuhusu diploma levels hizi wanaita NTA 4,5 na 6 naelewa 4 ni basic technician certificates 5 ni technician certificate na 6 ni ordinary diploma sasa swali langu je maximum GPA ni sawa kwa hizo levels kwamba zote zina maximum GPA ya 5? Ama kila NTA Ina maximum GPA yke?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.