Recent content by Kweli tu

  1. Kweli tu

    JamiiForums Tanzania Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

    Kwani Yesu ni Muongo? Mimi ninaamini Yesu ni mkweli hasemi uongo. Yesu anakutambua wewe kuani MMBWA TENA NI BUBU. Ndio masna akasema nikukatae maana wewe ni mzushi, umepotoka tena kwa mujibu wa Yesu wewe ni MMBWA. (USAYA, 56:9-12) WEWE NI MMBWA NINAKUKATAA KWA AMRI YA MUNGU. Mmi ni Muislamu...
  2. Kweli tu

    JamiiForums Tanzania Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

    WEWE NI MZUSHI. YESU KASEA HAKUA AJUAYE SIKU WALA SAA, WEWE UNAJUA KILA KITU, WEWE NI MZUSHI TENA UMEPOTOKA. (TITO, 3:10-11) 10 Mtu aliye mzushi, baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pili, mkatae; 11 ukijua ya kuwa mtu kama huyo amepotoka, tena atenda dhambi, maana amejihukumu hatia...
  3. Kweli tu

    JamiiForums Tanzania Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

    Kama unajua kila kitu basi wewe ndo mungu mwenyewe maana Yesu yeye hajui kila kitu, wewe umemzidi hadi Yesu. Uko vizuri. (Mathsyo 24:36) inathibitisha kua Yesu hajui kila kitu. Wewe ni mzushi, na bibilia yako imenikataza kujibizana na mtu mzushi. (TITO,3:9-10) inaniamuru nikujatae, kwani wewe ni...
  4. Kweli tu

    JamiiForums Tanzania Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

    Huyo Yesu unaye mtegemea yeye mwenyewe anaenda Motoni kwa mujibu wa ninilia yako. (WAGALATIA 3:13) Kweli wachungaji wamekupoteza. Ulisikia wapi aliye laaniwa na Mungu anaenda uzima wa milele? Muislamu kufa sio ishu, maana ili uingie peponi lazima ufe kwanza. Ila peooni haingii kafiri.
  5. Kweli tu

    JamiiForums Tanzania Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

    Yesu analalamika juu ya wachungaji wenu wanawapotezeni. (50:6 Yeremiah)
  6. Kweli tu

    JamiiForums Tanzania Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

    Nini maana ya ALKAH? WEWE DINI YAKO INAKUPELEKA WAPI, MBONA HUSEMI?
  7. Kweli tu

    JamiiForums Tanzania Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

    Tatizo lako wewe hauna elimu juu ya imani yako nwenyewe, ndio maana una chuki dhidi ya waislamu wenye dini ya kweli mbele ya Mungu. QUR-AN, 3:67 67. Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina. Kuwa na chuki dhidi ya waislamu hakuta...
  8. Kweli tu

    JamiiForums Tanzania Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

    Ninaifahamu bibilia viziri, kwanza unatakiwa uekewe kwamba Bibilia sio kitabu cha Mungu. Yesu alifunuliwa INJILI na sio bibili, hakuna mtume/nabii yeyote duniani alifunuliwa bibilia 2) Katika bibilia kuanzia Mwanzo hadi Ufunuo, hata hilo neno tu "BIBILIA" halimo. 3) Ktk bibilia pia hakuna hata...
  9. Kweli tu

    JamiiForums Tanzania Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

    BASI NAKUTOA MASHAKA NA UISLAMU. AYUBU, 4:5-6 Inasema... 5 Lakini sasa haya yamekufikilia wewe, nawe wafa moyo; Yamekugusa, nawe wafadhaika. 6 Je! Dini yako siyo mataraja yako, Na matumaini yako si huo uelekevu wa njia zako? 3:19, QUR-AN. DINI YA MUNGU NII HII, WEWE KAFIRI FUATA YA KWAKO...
  10. Kweli tu

    JamiiForums Tanzania Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

    Mambo ya Nyakati wa 2, 18:18-21, inasema 18 Mikaya akasema, Sikieni basi neno la Bwana; Nalimwona Bwana ameketi katika kiti chake cha enzi na jeshi lote la mbinguni wamesimama mkono wake wa kuume na wa kushoto. 19 Bwana akasema, Ni nani atakayemdanganya Ahabu mfalme wa Israeli, ili akwee...
  11. Kweli tu

    JamiiForums Tanzania Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

    Sikia we kafiri. Ili uwe muislamu ni lazima uamini vitabu vya Mungu na Mitume wa Mungu pia waislamu tunamuamini Yesu kua ni Mtume wa Mungu, ni mtoto wa kiume wa bikira Mariyam na ametahiriwa nangariba kama nilivyo tahiriwa mimi. Wewe una shida gani na uislamu?
  12. Kweli tu

    JamiiForums Tanzania Hapa ndio siuelewagi Uislamu kusema Ibrahim alikuwa ni Muislamu na Hekalu la Suleiman ni mali ya waislamu

    Niwe kafiri jama wewe ili niende motoni? Wakorintho wa 1. 15:18, inasema wazi 18 Na hapo wao nao waliolala katika Kristo wamepotea.
Back
Top Bottom