Recent content by kwani unakereka

  1. K

    Kwanini radi au thunderstorm haijawahi kuangusha ndege?

    Nyerere alikataza haya maswali mkuu,,ukijua ni mtanzania inatosha,,
  2. K

    Wanawake waliowazidi waume zao kimapato ya mshahara, elimu na umri na bado wanawatii waume zao kwa heshima na kuishi kwa amani wapo?

    Me nimemzidi mume wangu miaka miwili,,na kwa muda wa miaka nane alikua hana ajira so nikawa nasimamia show zote za maendeleo,,ili asiwe mnyonge nilimnunulia gari halafu me kazini full kudandia daladala,,kujenga niliacha asimamie ujenzi kiasi hata site kwenyewe walikua hawanijui,,mapenzi yangu...
  3. K

    Wanaume wa Dar Vs Wanaume wa Mikoani

    Wanaume wa Dar unampata ana 27 lkn nguvu za kiume hana,,
  4. K

    Plot4Sale Nauza shamba

    Ni wilaya ya ilala mbele kidogo ya chanika
  5. K

    Plot4Sale Nauza shamba

    Shamba liko mvuti ni ekari saba ila zinazouzwa ni ekari nne tu ::mvuti dondwe linapakana na magereza ya dondwe kwa upande wa kaskazini na upande wa mashariki linapakana na shamba la kanari kiwango huyu mwenye kiwango security. ::Limepimwa ramani ya halmashauri inaonyesha ni eneo la makazi na...
  6. K

    Nauza shamba

    Shamba liko mvuti ni ekari saba ila zinazouzwa ni ekari nne tu ::mvuti dondwe linapakana na magereza ya dondwe kwa upande wa kaskazini na upande wa mashariki linapakana na shamba la kanari kiwango huyu mwenye kiwango security. ::Limepimwa ramani ya halmashauri inaonyesha ni eneo la makazi na...
Back
Top Bottom