Mkuu Habari
Mkuu malizni nimeona tff imetoa kamati na majina ya wajumbe ok ni sawa
Il mbona naona kamati za tff zimekuwa nyingi na wajumbe wa hizo kamati wengi . hii uoni kama inakuwa mzigo mkubwa kwa tff hasa kwenye malipo ya wajumbe kwenye vikao na shughuli zingine uoni umuhimu wa kupunguza...
Mkuu malizni habari Ok asante kwa majibu yakoAnyway nimempa kijana GEORGE MTEMAHANJI namba yako pamoja na e mail yako so nazani atawasiliana na wewe katika wiki chache zijazo, He has a lot of things to talk with you please Mpe support na positive response mr presidentOtherwise Nakutakia kazi njema
MKUU MALINZI
VIPI KUHUSU ITC YA GEORGE MTEMAHANJI tangu mwaka jana mpaka leo kimya ameshindwa kujiunga na timu na kuanza kucheza mpira ITALY na USWISSI, Vipi mkuu au ndio mpaka ailipie hapo TFF ndio atapewa ITC
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.