ndugu zangu kwa hili jambo(intake ya 3 jkt) me naona serikali imebugi tena sanaaaa wajipange maana haiingi akilini inamaana kama wakienda jkt je vyuo vitafungwa kwa first year? Na wale ambao wamesharipoti vyuon kama st agustine na mwenge inakuwaje? Je watarudishiwa pesa zao ama? Me naona kama...
serikali ijipange jaman kama mgomo me ntakuwa kiongozi wenu jopo kwa upande wangu nimeshapita jkt lakin naona ni wastage of time elimu kwanza ukakamavu badae
wadau wa jf hasa kwa wale tunaomsubiria huyu bwana heslb kaeni mkao wa kula kwa mtonyo niliopewa na mdananda wa pande hizo anasema kesho mzigo watauweka hewani tho stay tuned by 2moro kuanzia saa nne.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.