Kupigana na gaidi inabidi na ww ugeuke Gaidi.
Nikupe tu za ukwl IDF wangeamua waende kigaidi gaidi, Gaza ilikuwa inafutwa ndani ya week tu. Ndo maana unaona wanapoamua kuwa aggressive Dunia nzima inaanza kulia.
Kama unataka nao IDF waende kigaidi bila kujali Casualties za civilians waruhusini...
Ndo kusema Hamas hana chake tena pale Gaza. IDF wapiga picha ya pamoja wakiwa ndani ya Bunge la serikali ya kijihad ya Hamas.
Kweli mwaka huu israel mtoa roho kakamia.
Nilikuwa nawadharau wanamgambo wa Hamas, nimewavulia kofia maana wanawaua kweli hawa wanajeshi wa Israel. Sijui waliingia bila mafunzo au wamekurupuka maana siyo kwa kupukutika uko.
Hata wakishinda watakuwa wamepata hasara kubwa sana na sijui kama watashinda hii vita maana naona kama Israel...
Ukibishana na wala tende utateseka ndugu vichwa maji. Israel anakuwa limited kupiga jwa sababu anayepigana naye kajichanganya na raia. Wangeamua kuuwasha moto kuangamiza kila kitu the story was over.
Wapo waliobaki hata kipindi zionist movements inaanzishwa waliwakuta wayahudi wenyeji ndo waliwapokea wayahudi wenzao kutoka uko sehem zngine.
Acha kuongopewa watu hakuna connection yyt kati ya mwafrika na waisrael endeleeni kujidanganya.
Pamoja na kusambaa duniani kote wairael wameweza...
Muongo acha kuongopea watu wayahudi hata baada ya kutawanyika dunia wapo walioendelea kuishi pale sasa mbn hakuna jamii ya watu weusi pale middle east acha ulongo
Israel hana muda wa kutaja magaidi wamekufa wangapi yeye akiua kiongozi/kamanda ndo anatangaza kama unafatilia hzi ishu.
Yaan israel na akili zao wakae chini wa draft tumeua magaidi wangap huwo muda hawan ila wakiua kiongozi wa kitengo fulani ndo wanatangaza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.