Recent content by Kumpanga

  1. K

    Leo ni miaka 37 ya kifo cha Bob Marley

    Patois (patwa).Ya kuandika kidogo I can try ila problem ni speaking,hasa ile pronunciation yao,I really like it!
  2. K

    Leo ni miaka 37 ya kifo cha Bob Marley

    Natamani sana kujifunza rasta talk,spoken hasahasa!
  3. K

    Leo ni miaka 37 ya kifo cha Bob Marley

    Him was,is and will always remain the greatest gifted person on earth.May his very soul rest in eternal power!
  4. K

    Leo ni miaka 37 ya kifo cha Bob Marley

    Katika hili la yeye kuwa Half cast alisema "me dip on God's side who created me and caused me to come from black and white"
  5. K

    Leo ni miaka 37 ya kifo cha Bob Marley

    Au Bruce Lee pia,alikufa bado mdogo kabisa
  6. K

    Leo ni miaka 37 ya kifo cha Bob Marley

    Possibly yes,hasa ukizingatia wao ndo waliamua kuondoka.
  7. K

    Leo ni miaka 37 ya kifo cha Bob Marley

    Sasa swali ambalo najiuliza,ni kwanini baada ya Bunny Wailer na Peter Tosh kujiondoa kundini,mbona Bob Marley aliendelea kulitumia jina la The Wailers huku akiwa na waimbaji wengine kama Rita (mkewe),Juddy Mowatt na Marcia Griffith (I Threes) wakati waanzilishi walijitoa?
  8. K

    Leo ni miaka 37 ya kifo cha Bob Marley

    Sababu za kwanini The Wailers ilikufa nadhani imefafanuliwa katika documentary ya Bob Marley ambayo Bunny Wailer alieleza kuwa Chriss Blackwell alikuwa anawa-expose kwenye mambo ambayo ni kinyume na imani ya kirastafari ikiwa ni pamoja na kuandaa matamasha katika clubs.Lakini pia Peter Tosh...
  9. K

    Leo ni miaka 37 ya kifo cha Bob Marley

    Hahahaaa,nasikiliza kwa bahati mbaya tu kwenye mikusanyiko ya watu ambayo si rahisi kuikwepa.Sijawahi kuvutiwa na sioni ikitokea nikapenda hii miziki ya akina Diamond and the likes
  10. K

    Leo ni miaka 37 ya kifo cha Bob Marley

    Umezungumza kweli kabisa.Yaani ukisikiliza wimbo wa Harmonize idea ni ileile kama ya Diamond,melody ni hiyohiyo,beat ni hiyohiyo,cha ajabu zinavuma.Tupo kwenye kizazi cha ajabu sana.Wasanii wengi hawako real,maisha ya kuigiza.Fikiria the wailers pamoja na mafanikio makubwa ya muziki wao lakini...
  11. K

    Leo ni miaka 37 ya kifo cha Bob Marley

    Aisee bro,hawa jamaa (wailers) walikuwa na akili sana,japo hawakuwa na elimu kubwa lakini uwezo wao wa kufikiri ulikuwa mkubwa saaaaaana.Nimeusikiliza huu wimbo wa Here Comes The Judge wa Tosh daah,hii idea ya kipekee sana. Silence in the court The court is in the session Hahaaaa,sijui kwanini...
  12. K

    Leo ni miaka 37 ya kifo cha Bob Marley

    Ngoja niitafute haraka sana,au kama unao unaweza kuutuma hapa niupakue fasta?
  13. K

    Leo ni miaka 37 ya kifo cha Bob Marley

    Ukikipata na hiki itakuwa burudani sana.Hakihusiani na Rastafari ila kina mambo mengi mtu anapaswa ajifunze!
  14. K

    Leo ni miaka 37 ya kifo cha Bob Marley

    Kumbe ni mpenda vitabu kama mimi,basi tuko pamoja hakika!naamini uki-search unakipata.Kuna kingine kinaitwa Marley And Me,nimemsahau mwandishi,jaribu pia kukitafuta na hicho
Back
Top Bottom