Recent content by kumalijasana

  1. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ni Ujumbe gani Tunaupeleka kwa Wafadhili na Wadau wa Maendeleo?

    Hebu jaribu kuwaza, chama fulani ambacho ni chama tawala, kinakusanya mabilioni kwa ajili ya kampeni. Lakini serikali ya chama hicho inawaomba wafadhili pesa za kujenga vyoo, dawa na vyandarua. Matajiri wakubwa wanachangia kampeni lakini mtaani kwao kuna barabara za matope, watu hospitali...
  2. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wajue wabunge 10 Walikouwa wabunge na kushinda kura za maoni kisha kukatwa na Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

    Hata buhigwe, aliyeshinda kura za maoni kakatwa
  3. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baada ya Ummy Mwalimu kukatwa "Tutapigia Upinzani Kura si CCM"

    Una uhakika kuwa hizo kura zita "matter"?
  4. K

    JamiiForums Tanzania Polepole apuuzwe, tuliosoma naye tulimuita Polisi/Usalama

    Kama hukuandika kwa mtindo wa sarcasm, maqna yake ulichoandika ni kuwa Polepole ameobgea ukweli na hiyo ndio imekuwa tabia yake tangu mkiwa shule
  5. K

    JamiiForums Tanzania Mahakama ipige Marufuku Watu kuingia na Simu au Kifaa chochote cha kurekodi ,kupiga picha au kuchukua Matukio katika kesi Ya Lissu

    Lucas Lucas Lucas Kwani huna washauri ndugu? Huoni kuwa unaidhalolisha CCM na Rais mwenyewe? Yani wewe ndio unawasilisha akili za vijana wa CCM? Unachokifanya is very low
Back
Top Bottom