Wewe ni mjinga sana(huelewi
unachosema), nyie ndio mnafikiri wasomi wote wana iphone na hawajitumi kwa kuangalia vijana wachache wa huko dar. Kiukwel vijana wanajituma sana, tatizo ni mifumo mibovu ya elimu. Hata kwenye utafutaji pia vikwazo ni vingi sana kwa kijana kujikwamua. Hebu toka hapo...
Ahsante kwa swali lako Simba.
Jibu:
1. Kwanza Mimi nina mke na mtoto mmoja wa kike. Naweza kusema niliyemuota ni jini kwa sababu nimeota ndoto ya mtu ambae simfahamu kabisa, kwenye ndoto nilikuwa naona sura ya huyo mwanamke kwa kufifia sana na hata mtoto wa kiume niliyemuota nae sura yeke...
Habari; Naomba kuuliza haya maswali
1.Nimeota ndoto ninafunga ndoa na jini, je ndoto kama hizi zina uhalisia???
2. Baada ya kuota ndoto hiyo nilishtuka kutoka usingizini lakini haikuchukua muda usingizi ukanipata nikaota tena nipo mahali fulani natambulishwa mtoto wa kiume niliyezaa na jini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.