Duchu ndio kusema alikuwa anawasubiri Loemba na Gomez ili tu...awasaidie goli Lao walilokuwa wameliplani walipokuwa pale nje....Goli walilokuwa wamelichora..!
Salute kwao goli La tatu ...Loemba ..Duchu ....Selee.!
SSC 3 - 0 TRA.
Dk 72..
Mpeni tu Maua yake aliyeamua hili gemu lipigwe muda huu...!
Imagine Yanga Kashindwa kuvuka makundi, rekodi ya Mwakarobo CL ni ya Mnyama tu Tanzania Yote.....
Halafu sasa, Halftime ana bao mbili...
Yaani Bia inashuka yenyewe kwenye koo tartiiiiib.... Kweli lile balaa la Oct 29 unasahau kbs...
Ukiiona tu Wewe ni bingwa sehemu, halafu Kwenye rank upo chini ujue Wewe Umebahatisha ubingwa..
Wababe umeshindwa kuwatoa hapo juu.
Mafanikio ni neno Lenye tafsiri mtambuka...
Kuna timu Zikitimiza malengo yake ni mafanikio,Mfano Yanga imeweka Lengo kuingia makundi.
Kufeli hapo ni ikishindwa...
Tano bora Kwa Kipindi hiki Cha Sasa..hapo vipi?
Raha sana kuwa mmojawapo Wa Wababe Wa Soka watano Bora bara Zima La Afrika.
Kombe La kahawa la NBC chukueni x50
Goli Tano zipi katika historia...
Zile za 5 - 0 za Emanuel Okwi au zile 5 - 1 za Pacome?
Ipo timu inajiita kubwa... Yanga
Haijawahi kushika Tano bora..
Hii ni fact, ubishi unatokea Wapi?
Zipo timu nyingi zimeshawahi kutwaa ubingwa Wa Tanzania, hii pia ni fact.
Ukubali ukatae Lkn ndo hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.