Recent content by kovai tamil taiga

  1. K

    Kiimani Ijumaa Kuu Tunakatazwa Kula Nyama..Hii ina maana kubwa sana Kwa Mnyama SIMBA

    Usile nyama Siku ya Ijumaa Kuu...! Kwaiyo Siku ya Mechi Nyama NO..! Hivyo,badala ya Kwenda Kwenye nyama choma ,Kitu pekee kuwapoza Mashabiki Wa mnyama Siku hiyo ni kumtwanga Ali Ali...!
  2. K

    Usipokula hela kwenyw betting wiki hii hutokula tena maishani mwako

    Usiwachuuze Wenzako......Mungu anakuchora tu...! Kwenye izo Timu Kweli umeona Kuna Wachezaji Wa kwolite ya kushinda?
  3. K

    Mike Tyson hazeeki

    Kuzeeka ni mchakato.... Ungemwona Enzi Zake Wala usingesema Hazeeki....! Hapo KeshaZeeka...! Hatua inayofuata hapo ni kupoteza Kumbukumbu... Mungu fundi..
  4. K

    Natabiri Yanga vs Mamelod kukosa watazamaji uwanja wa Mkapa

    Ukiona Watu Siku ya Mechi za Yanga Wanazurura zurura nje pale Lupaso bila mpango hovyo hovyo ujue ni Utopolo hao Hawana Viingilio..! Wanasubiri ' Fungulia Umbwa'...
  5. K

    Natabiri Yanga vs Mamelod kukosa watazamaji uwanja wa Mkapa

    Upo Sawa, nakubaliana nawe Asilimia 100. Umetabiri Sawa Kbs....! Labda Itokee GSM atoe ofa kwa Mashabiki awalipie Yeye Waingie Bure..!! Bado tatizo la Wana Yanga kushindwa kujaza uwanja ni kizingumkuti...!
  6. K

    FT: Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 17.03.2024

    Kawafunga halafu alivyo na Adabu Kawaomba msamaha...hakushangilia bao La pili...! Huyu Fei mumemsamehe..?
  7. K

    FT: Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 17.03.2024

    Haya ni majivuno Au ni Malalamiko..? Acha kuleta tungo tata za kutuchanganya.!
  8. K

    FT: Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 17.03.2024

    Midakika na Yenyewe kama imetumwa...inakimbia hiyooo .! 75'
  9. K

    FT: Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 17.03.2024

    Dk 70 bado Yanga Wako nyuma... Kwasi naye injury?
  10. K

    FT: Azam FC 2-1 Yanga SC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 17.03.2024

    Usishangae wakiweka Dk 15 za nyongeza hapo baadae..!
  11. K

    Tunajengaje "Utalii wa Michezo" kwa kupiga marufuku na kutishia mashabiki wasisapoti timu fulani?

    Sasa Wewe So uishabikie Timu yako. ? Ya Uto..! Umekatazwa?
  12. K

    Je, kissing (denda) ni jambo la asili au ni ubunifu wa kibinadamu?

    Hakuna asili hapo...., Kama Sex organs hazihusiki hapo Hakuna asili...! Neno Kufanya Mapenzi Kinyume na Maumbile Linahusika Moja Kwa Moja..! Tumia Mdomo wako kwa Kula tu...ukizidisha basi iwe Kuongea tu...!
Back
Top Bottom