Usile nyama Siku ya Ijumaa Kuu...!
Kwaiyo Siku ya Mechi Nyama NO..!
Hivyo,badala ya Kwenda Kwenye nyama choma ,Kitu pekee kuwapoza Mashabiki Wa mnyama Siku hiyo ni kumtwanga Ali Ali...!
Kuzeeka ni mchakato....
Ungemwona Enzi Zake Wala usingesema Hazeeki....!
Hapo KeshaZeeka...!
Hatua inayofuata hapo ni kupoteza Kumbukumbu... Mungu fundi..
Ukiona Watu Siku ya Mechi za Yanga Wanazurura zurura nje pale Lupaso bila mpango hovyo hovyo ujue ni Utopolo hao Hawana Viingilio..!
Wanasubiri ' Fungulia Umbwa'...
Upo Sawa, nakubaliana nawe Asilimia 100. Umetabiri Sawa Kbs....!
Labda Itokee GSM atoe ofa kwa Mashabiki awalipie Yeye Waingie Bure..!!
Bado tatizo la Wana Yanga kushindwa kujaza uwanja ni kizingumkuti...!
Hakuna asili hapo...., Kama Sex organs hazihusiki hapo Hakuna asili...!
Neno Kufanya Mapenzi Kinyume na Maumbile Linahusika Moja Kwa Moja..!
Tumia Mdomo wako kwa Kula tu...ukizidisha basi iwe Kuongea tu...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.