Recent content by Kosugi

  1. K

    CAF Confederation cup yafutwa msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

    Aya ngojea tuone ila hayo maelezo sijayaelewa na kama hayaleti mantiki.
  2. K

    Dr. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

    😂😂😂😂😂😂Aiseee. Halafu hao hao wanadai mwanamke ni kiumbe dhaifu,hivi unajua India ndio taifa linaloongoza duniani kwa gender oppression!? Huyo huyo mama wanaomsifia anaingia katika kundi la wanawake wanaotajwa kuwa dhaifu na wananyanyapaliwa. Kiuhalisia mfano mbovu.
  3. K

    Dr. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

    Aiseee unaitafsiri hivyo hasira!? Hasira is one amongst the emotions. Kwahiyo hasira zinatokana na surprising behaviours?? Usinidanganye mkuu,ni mara ngapi unakosea kosa moja lile lile na mzazi anakasirika na anakuadhibu kwa kosa lile lile!? Hasira ni hisia zinazokuja kwa kukerwa ama kukatishwa...
  4. K

    CAF Confederation cup yafutwa msimu ujao kutakuwa na mashindano mawili tu

    Mmmmh mkuu yani haipaswi timu kushiriki mashindano yote mawili ilhali zinatizamwa timu zenye rank ya juu!? AFL inaanza kabla ya CAFCL. Rekebisha maelezo mkuu. Mamelody ndio mshindi wa AFL na sasa yupo nusu fainali CAFCL.
  5. K

    Kusema ukweli Dar es Salaam ni pazuri

    Kuna nini mkuu hapo riverside usiku?
  6. K

    Dr. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

    Ndio anaweza kughadhibika kwa kutokufata kile alichotuamrisha ima kwa makusudi ama kiburi. Ila haendeshwi na ghadhabu zake. Ndio maana licha ya madhambi tunayofanya bado tupo hai. Ila wewe ukikosewa mara mbili tatu umesha take action na kumchukia mtu generally.
  7. K

    Ifahamu Iran na Maendeleo yake (Technology and Manufacturing)

    Zelzal maana yake tetemeko.
  8. K

    Dr. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

    Hujanielewa mkuu soma kwa utuo,kuna kupata hasira na kuna kuendeshwa na hasira. Hivyo ni vitu viwili tofauti. Kukasirika ni kughadhibika kutokana na sababu ya kile kilichokukera na kuendeshwa na hasira ni kufanya maamuzi kulingana na hasira zako. Hivyo vitu vinafanana bro!?
  9. K

    Dr. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

    😂😂😂😂😂Aiseee. -Suala la wewe kufanya makosa ni udhaifu tayari. -Suala la wewe kuendeshwa na hasira ni udhaifu tayari. -Suala la wewe kufanya maamuzi mabovu ni udhaifu tayari. Mengine unayajua.
  10. K

    Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    Bro mie ni me bhana. Am a Man.
  11. K

    Dr. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

    Huo udhaifu ndio ukamilifu wa uumbaji wa Mungu. Madhaifu yenyewe ndio hayo yanayofanya tukosee kama binadamu.
  12. K

    Waarabu wakija kushtuka, tayari watakuwa wamemalizwa kwa unafiki wa Iran

    Nimesoma na najua chimbuko la Shia na mpaka mashina yake. Ukitaka twaweza lijadili hilo.
  13. K

    Dr. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

    Mungu kumuumba binadam akiwa na madhaifu yake ni utashi wake Mungu. Na madhaifu ni sehemu ya ukamilifu ya uumbaji wake. Pasi na hayo madhaifu basi tamu ya hii dunia isingekuwepo. Mkamilifu ni yeye Mungu peke yake.
  14. K

    Dr. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

    Wapo wanaokuzwa na maziwa ya ng:ombe je hao nao wawaite ng'ombe ni mama?? Kukuzwa kwa mtu ni kwa maziwa tu!? Nani alikua akimbembeleza mtoto,kumuogesha na kumjali?? Je ng'ombe nae anahusika!? Mbona mfano mbovu sana huu!?
Back
Top Bottom