2022-2024, kuna vitu kimetokea very interesting. Kumbe yule jamaa aliyetembea naye aliyekuwa anataka na side B alikuwa HIV+. Na km mnakumbuka tang nigundue kwamba simuelew elewi sikuwahi kulala naye tena, so nipo salama kbs sina VVU..
Ilikuwaje nimejua? Nani alinambia? Kuna mambo yalitokea hapa...
Huyu binti kuna mengi yamepita, ila kifupi tu nilifanikiwa kuruka mtego wake na sikulala naye. Japo haikuwa rahisi, ila NILIMHIBITI vilivyo. Ni hivyo Mkuu.
Wanaongea ongea kwamb mim sijafanya sawa ni mabinti, hawajui maumivu, hasira na uchungu wa demu wako unayempenda na kumpa thaman ya juu kugongwa alafu ukajua, watu huwa wanaua mbona mim kwa nilichokifanya hiki kdg sana, nafaa kupewa Ushemasi kbs
Possible tukawa tuna undugu mkuu, huwa nashangaa rafiki zangu wanavyopapalikia mbususu, Yaani mtu ana demu kila chuo mjini hapa, na bado maofisin humo, baa huko ndo usiseme, huwa nawangaa sana,mimi mbunye sio basic need kwangu na mwanamke hata sijui anitege km simtaki au sijapanga kumla simli...
Shenzii, aya uwe unaimba kwaya, unajulikana ni mlokole, kanisan kwako wanakuamini na wazazi wako wanajua wew ni zaid ya malaika ungejibu hivyo?? ulivyokuwa na akili fupi unadhan mim hamnazo, kila kitu kilikuwa calculated, na km angekuwa mwanamke gume gume km wew ningedili kwa namna nyingine...
Mwanamke ambaye namuwekea si chini ya laki 2 kila wiki, hiyo sio ya kula wala mavazi, ni vocha na matumizi yake binafsi, gari yake muda wote ina mafuta, nikamfanya kuwa Malkia kuliko mama angu mzazi, anatokea mama mmoja humu anasema mimi katili, katili gani duniani anaweza kufanya mambo km haya...
Nina shida moja katika maisha yangu, nayo kuwa tayari kupokea ninachostahili, kuna kosa nililifanya kwenye project moja hivi ikanisababishia nipoteze mamilioni ya pesa wala sikwenda kuomba msamaha wala kubargain nilipoteza ile fedha, namimi huwa nampa mtu anachostahili lakin natahadharisha...
Nimegundua kupitia comment wengi humu si waaminifu, mnapenda sana kusamehewa mkijiwekea kinga mkikosea nanyinyi msamehewe, ukikosea utalipia na ndo kanuni ya maisha ilivyo, kabla sijafanya lolote nilimtahadharisha huyu binti, wala haikuwa surprise kwa kilichotokea, alafu mbaya zaidi kuna wanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.