Recent content by kombozi

  1. K

    biashara yangu mpya... karibuni!

    hamna kaka vitu tunanunua tafauti na mnavyo fikiria huko bongo
  2. K

    biashara yangu mpya... karibuni!

    uwezo wangu nnawezo wakupakia conntener ya 40fit baskel,freezer tv. navitu mbali mbali kama microwave
  3. K

    biashara yangu mpya... karibuni!

    kaka burger zinatumaliza kabisa tunahitaji kurudi nyumbani sasa kuweka mambo sawa tupeni ushauri tulete nini
  4. K

    biashara yangu mpya... karibuni!

    kaka bado nipo huku ndio nataka kupakia mzigo ila ndio nahitaji ushauri juu yahiyo biashara
  5. K

    biashara yangu mpya... karibuni!

    mkuu nitafanya hivyo nashkuru
  6. K

    biashara yangu mpya... karibuni!

    no yangu hiii +447424717136 kaka au hata ww naweza kuku check nitumie yakwako
  7. K

    biashara yangu mpya... karibuni!

    Habari zenu wana jf naombeni ushari wenu mimi naishi england nimeamua kuja tanzania kutafuta freme nakuleta bidhaa za used kama flat screen tv.ma freezer navitu mbalimbali vya eletronic je munanishauri vipi juu yahiyo biashara inaweza kunitoa kwahapo dar.asanteni sana
  8. K

    Mtaji wangu wa Mil 2.5 je ni BIASHARA ipi naweza anza nayo? (NIPO Mwanza)

    kopo haitoshi kivipi ? nnauwezo wakupakia 40fit conntener used eletronic
  9. K

    Mtaji wangu wa Mil 2.5 je ni BIASHARA ipi naweza anza nayo? (NIPO Mwanza)

    kaka mzigo nachukua england napakia mzigo mzuri sana ila tatizo kwamba faida inakua haipatikani, ila nimefikiria hata kufungua supermarket kwani uk vitu naweza kupata rahisi nikachanganya na vitu vya dubai
  10. K

    Mtaji wangu wa Mil 2.5 je ni BIASHARA ipi naweza anza nayo? (NIPO Mwanza)

    habari zenu ndugu zangu pamoja na kaka zangu. mimi nikijana wakitanzania ambae naishi nje ya nchi ila nimechoka kuishi huku nakufanya kazi nimejaribu kufanya biashara yakuleta eletronic used kama tv plasma.ma freezer na kila kitu cha eletronic nimewatumia wadogo zangu 40 fit conntener kama mara...
Back
Top Bottom