Recent content by Koloko

  1. Koloko

    JamiiForums Tanzania Nashauri Kifo cha Mume wa Samia kichunguzwe

    Naunga mkono hoja ✋🏿
  2. Koloko

    JamiiForums Tanzania Malu, pipytida, Dudu baya, Gigy money, Anko T, Noel na Mwijaku waitwa central station

    Dudu baya kawapiga vita sana mashoga leo hii anaenda kusuruhishwa central 😂
  3. Koloko

    JamiiForums Tanzania Mufindi: Akamatwa akijaza pombe bandia kwenye Chupa

    Sio mpka chai hii ni mpaka pombe..😅🥂
  4. Koloko

    JamiiForums Tanzania Nakwenda kubadili Jina soon.

    Pushpa ndo nini na surya ninin ili tuweze kukushauri.. ila nibora ukajiita suhayra hii inamaana kwa sisi waislam🙌🏿
  5. Koloko

    JamiiForums Tanzania Wait a Minute: Hivi Tunajuaje kuwa kweli Nchimbi Alijiuzulu Umakamu wa Rais?

    Husika na kichwa cha habari apo juu..
  6. Koloko

    JamiiForums Tanzania Vipimo vya DNA vyazua mjadala nchini Malawi.

    Vipimo itabid vipimwe
  7. Koloko

    JamiiForums Tanzania Mume mchumba anatafutwa

    Yupo serious sana jamn.. Mnamo siku ya jana majira ya saa 3 alifungua account ya jF na kutuma ombilake papo kwa hapo Kila la kheri mungu atakupa unacho stahili
  8. Koloko

    JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu hanipi muda lakini yupo online muda wote

    Pole sana mkuu
  9. Koloko

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2024 nilipata bahati ya kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Sikujua kwamba safari ile ingeniachia simulizi ambalo mpaka leo silisahau

    Hiyo kesi yake sio poa pale border post yao lazma dola ziutoke zakutosha
  10. Koloko

    JamiiForums Tanzania Jibu swali, kama huwezi pita kushoto

    Nimejikuta tu nimedondokea umu
  11. Koloko

    JamiiForums Tanzania Umekutwa na hatia bado unaingia na bangi kituoni uunao ni usela au..?

    Nikweli mkuu awa watu wana staajabisha sana aisee mmi nilishuhudia jamaa aliondoka na kuniacha selo aisee kweli wapo gifted 😅
  12. Koloko

    JamiiForums Tanzania Umekutwa na hatia bado unaingia na bangi kituoni uunao ni usela au..?

    Me nilizushiwa nimesababisha hasara ya kama dola 2400$ kwenye kampuni binafs
  13. Koloko

    JamiiForums Tanzania Umekutwa na hatia bado unaingia na bangi kituoni uunao ni usela au..?

    Tunasubiri kodi iishe ndo nimweleze mzee kinaga ubaga
Back
Top Bottom