Katika purukushani za maisha huku na kule, kuna kipindi nilishawahi kukamatwa na kuwekwa ndani
Kesi yangu ilikuwa bado inaendelea, lakini ndani ya moyo wangu nilikuwa naamini kwamba, kwa namna yoyote ile, ipo siku nitatoka. Changamoto kubwa ilikuwa hata kuwafikishia wazazi taarifa kwamba...
Me ningumu mzee bba mana hata ukaribu nae sitaki kuna mchizi mmoja aliwahi kumwomba amwazime geto ili aulie kipengele chake jamaa akampa options mbili aulie ila nayeye usiku aje amshone...jamaa alikataa 😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.