Recent content by Koloko

  1. Koloko

    JamiiForums Tanzania Jibu swali, kama huwezi pita kushoto

    Nimejikuta tu nimedondokea umu
  2. Koloko

    JamiiForums Tanzania Umekutwa na hatia bado unaingia na bangi kituoni uunao ni usela au..?

    Nikweli mkuu awa watu wana staajabisha sana aisee mmi nilishuhudia jamaa aliondoka na kuniacha selo aisee kweli wapo gifted 😅
  3. Koloko

    JamiiForums Tanzania Umekutwa na hatia bado unaingia na bangi kituoni uunao ni usela au..?

    Me nilizushiwa nimesababisha hasara ya kama dola 2400$ kwenye kampuni binafs
  4. Koloko

    JamiiForums Tanzania Umekutwa na hatia bado unaingia na bangi kituoni uunao ni usela au..?

    Tunasubiri kodi iishe ndo nimweleze mzee kinaga ubaga
  5. Koloko

    JamiiForums Tanzania Umekutwa na hatia bado unaingia na bangi kituoni uunao ni usela au..?

    Nikweli mkuu
  6. Koloko

    JamiiForums Tanzania Umekutwa na hatia bado unaingia na bangi kituoni uunao ni usela au..?

    Ni story ndefu mkuu
  7. Koloko

    JamiiForums Tanzania {Inadaiwa ni mkewe}: Kwanini mtu amchape hivi Mke wake? Hi si sawa na haikubaliki

    Kumchapa sio tatizo tatizo kumshot
  8. Koloko

    JamiiForums Tanzania Umekutwa na hatia bado unaingia na bangi kituoni uunao ni usela au..?

    Ungetuambia mkuu ili tuweze kujua na kwaniaba ya wana jF
  9. Koloko

    JamiiForums Tanzania Umekutwa na hatia bado unaingia na bangi kituoni uunao ni usela au..?

    Kunasheria gani hapo mkuu
  10. Koloko

    JamiiForums Tanzania Umekutwa na hatia bado unaingia na bangi kituoni uunao ni usela au..?

    Katika purukushani za maisha huku na kule, kuna kipindi nilishawahi kukamatwa na kuwekwa ndani Kesi yangu ilikuwa bado inaendelea, lakini ndani ya moyo wangu nilikuwa naamini kwamba, kwa namna yoyote ile, ipo siku nitatoka. Changamoto kubwa ilikuwa hata kuwafikishia wazazi taarifa kwamba...
  11. Koloko

    JamiiForums Tanzania Dalali hakumtonya mzee wangu kuwa mtu anayetaka chumba ni shoga

    😂😂
  12. Koloko

    JamiiForums Tanzania Dalali hakumtonya mzee wangu kuwa mtu anayetaka chumba ni shoga

    Shikushauri kuendelea kuwala hawa viumbe manasi halali mkuu watu watakuchoma kwa mwamba bey minyodo
  13. Koloko

    JamiiForums Tanzania Dalali hakumtonya mzee wangu kuwa mtu anayetaka chumba ni shoga

    Ni hatari
  14. Koloko

    JamiiForums Tanzania Dalali hakumtonya mzee wangu kuwa mtu anayetaka chumba ni shoga

    Me ningumu mzee bba mana hata ukaribu nae sitaki kuna mchizi mmoja aliwahi kumwomba amwazime geto ili aulie kipengele chake jamaa akampa options mbili aulie ila nayeye usiku aje amshone...jamaa alikataa 😂
  15. Koloko

    JamiiForums Tanzania Dalali hakumtonya mzee wangu kuwa mtu anayetaka chumba ni shoga

    Nikweli ili kuweka sababu nyengine tofauti na ushoga😂
Back
Top Bottom