Ni muhusika na Hawa ndiyo waliofanya magufuri asiishi mda mrefu kwenye urais. Walichangia kumshauri mashariti mabovu. Ajabu akataka kumwambia magu watu wanaotaka kumuuwa ni watu wake wa karibu ambao ndiyo waliomwinua makonda kwa Mara ya kwanza baada ya kumpiga mzee walioba
Jaribu utajua Kama keyboard. Unawaza kuuwa kitu kigumu sana siyo?. Kama zinakuenea kichwani kwanini Mungu alikataza kulipa kisasi?.
Sababu alijua kufanya uovu kwa mwanadamu ni kitu rahisi kwake kuliko haki na mema.
Alijua hakuna anayeshindwa kukipa kisasi. Kwa Zakaria tarime mlilia Kama watoto...
Mahakama imeanza kuwa takataka. Mnyongeni mtimize ushetani wenu. Hayo ya gizani Mungu atayaweka wazi. Zama za UOVU MAHAKAMANI.
AIBU AIBU AIBU. SHETANI AMETAMALAKI KWENYE MIHIMILI YOTE SASA.
SERIKALI ilimpiga risasi
BUNGE lilimtoa bungeni asiwe mbunge
MAHAKAMA inataka kufanya kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.