Recent content by kodo1

  1. K

    JamiiForums Tanzania KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    Necta iweke wazi yafuatayo kwa wanaohusika. ikizingatiwa kazi ngumu sana 1.per script ni sh ngapi? 2.muda sahihi wa kufanya kazi niliwahi pita centa moja markers wengi walilalamika kama wapo guantanamo bay.Kufanya kazi mda mrefu ili kumaliza mapema kabla ya sikukuu ni jambo jema ila ufanisi...
  2. K

    JamiiForums Tanzania KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    No kwa upande wa wanafunzi nadhani shida hakuna ingawa yalikuwepo wakati ndalichako
  3. K

    JamiiForums Tanzania KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    unamtisha nani mjinga wewe ? take care niko busy nitakujibu tukimaliza paka shume wewe
  4. K

    JamiiForums Tanzania KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    hapana sina lengo la kuzorotesha lengo nikushauri kama kuna uwezekano NECTA iifanyie kazi
  5. K

    JamiiForums Tanzania KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    akienda tu mwambie akumbuke kugawa papuchi kila mwaka ataenda
  6. K

    JamiiForums Tanzania KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    sasa mara kwanza haya huwezi yaona kuna centa moja mwaka jana ilikiwa bukoba nadhani na mwaka huu ipo com pale kuna ukabila uliopitiliza haya tunayoongea tuna ushaihidi nayo mkuu
  7. K

    JamiiForums Tanzania KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    nachokizungumzia kuna kitu hukielewi watu wanaweza wakafanya hayo lakini ikumbukwe kuwa pale kuna wake za watu na wanaume za watu. pia upande wa wanawake wamekuwa wamekuwa wakipigwa mambo kwa kuaidiwa kwamba watakuwepo kila awamu. hebu baraza lirudishe hazi yake
  8. K

    JamiiForums Tanzania KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    yap faida ipo kwani wewe ndio msimamizi wa pannel husika napia wewe ndio unapewa rungu la ku screen majina
  9. K

    JamiiForums Tanzania KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    tatizo ni wenyeviti wa pannel ambao wameendekeza ukabila na mjuano.kwa sababu wenyeviti wa pannel wanausika katika ku screen markers na wamekua wala rushwa wazuri ya pesa na ya ngono. mitihani ya form two isahihishwe kikanda kama zamani
  10. K

    JamiiForums Tanzania KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    mwaka 2023 fulani nilipita pannel ya chemistry kuna jamaa aliniambia tangu 2007 yeye anafanyq kazi zote form 4 and 6 sasa swali inaamana hakuna wengine wanaweza kufanya.Na mwingine mwaka jana hawakumwita wakadhani wamemsahau akaenda mpk katika centre wakamwambia jina halipo.
  11. K

    JamiiForums Tanzania KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    haya ndio mambo nayazungumzia inahitajika reforms na wakusimamia hili ni baraza la mitihani la mitihani wenyewe utaratibu unaotumika ni wa kikanjaaa ingiza watu kabila lako wengi wape vyeo kuna watu necta wameshaifanya kama baraza lao hasa hao watu wa mara na wachaga
  12. K

    JamiiForums Tanzania KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    maandamano hayawezi kuwa solution ya matatizo , matatizo yetu yatatuliwa kwa kujenga taasisi imara
  13. K

    JamiiForums Tanzania KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    kukaaa kimya ni kosa wewe unashauri hatua zipi zichukuliwe?
Back
Top Bottom