Recent content by knows

  1. knows

    Ukiacha Chako Ni Chako,Wapi Kuna Machimbo Mengine ya Pisi Kali Kwa Dom?

    Saivi habar ya mjini The Bystony utapata unacho kitaka we nenda
  2. knows

    Video: Jamaa kamfumania mpenzi wake na kaambiwa hapendwi

    [emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha brother angu alikuwa anakula manzi mmoja hivi kunasiku bro kaenda kwa manzi kapikiwa kakaa anakula kama kwake ghafra mwenyew manzi kaingia anamkuta bro ndani [emoji23][emoji23] bro njaa yote ikakata akasema leo nimekwishaaa mimi Daah sema manzi ikabidi...
  3. knows

    Natafuta mke

  4. knows

    Kwanini mnawahukumu mno single mothers?

    Ninae mmoja nimeingia nae kwenye mahusiano kwa sasa hata mtoa mada akimuona lazima amtake kwanza bonge la shape ukimix na lile takooo siopowa na anajua mapenz balaa kiukweli na simama na single maza hata muwaseme vip nitasimama nao mbaka mwisho
  5. knows

    Usimpoteze mwanamke mwema kwasababu alijamiiana na mwanaume mwingine kwa bahati mbaya

    Sntchs are Bitchs always Bahati mbaya na ikichomoka mnaiwah kuirudishia ndani Fucking kabsa
  6. knows

    Akikwambia 'msalimie wifi', imeisha hiyo mtu wangu

    Kuna mmjoa nimekutana nae leo nikamchangamkia ikabidi na yeye achangamke tukabonga sana akachukua simu yake nikamuandika namba akanipigia nikasave tukaacha nikasepa hata home sijafika simu zinaita malaa ooh umefika nyumbani mbona hujaniambia kama umefika, Nikase Heeh tena mbona ghafra nikamkacha...
  7. knows

    Umewahi kuwa na rafiki ambaye kila ukiona tu simu yake unajua ana shida na inakuwa kweli

    Niko selective sana kwenye marafiki lakin sio cheap kuunga urafiki na mtu na nimgumu sana wa kuumpa nafasi mtu kutengeneza urafiki na mimi hii tabia imenisababisha kuwa na marafiki wachache lakin ni marafiki wa ukweli na ni watu makini sana hata upige simu saa 8 usiku umepatwa na shida...
  8. knows

    Kuna wanawake Wana roho mbaya, aibu hawana na kujificha hawawezi

    Ivi kumbe ningumu mwanamke kumpenda na kumjali mtoto ambae sio wake wakumzaa
  9. knows

    Sababu rahisi zilizofanya nikaacha kuwaoa hawa wadada wazuri kwa muonekano

    NDOA NI UJAMBAZI KAMA UJAMBAZI MWINGINE KATAA NDOA
  10. knows

    Unataka kuolewa na mwanaume wa aina gani?

    [emoji23][emoji23] huu uzi wadada wa Jf wataupita kama hawauelew wakijua ni mtego
  11. knows

    Kuna nyakati kuvaa condom ni kitendo kigumu sana au hakiwezekani kabisa

    Nanunua kabsa na kandomu ila nikijaga kushtuka game nishauza na imeisha condom zinabaki vilevile sielew nina pepo gani
  12. knows

    Ogopa sana mwanamke mwenye tatoo, kipini na kikuku kwa pamoja

    Kipini puani NAKAZI aiseee sitaki hata kumkumbuka Umbwa yule F*cking kabsa
  13. knows

    Nimempenda sana. Natamani nimuoe lakini ana mtoto mmoja na mimi sina

    Kuna mwenzako kaoa single maza jirani yangu hapa na hayupo kaenda mkoani kikazi leo inaenda siku ya 4 kama sikosei jamaa aliemzalisha huyo single maza anakuja hapo home fresh kwa baby mama wake ikifika usiku kama saa 6 ndo anaondoka siku nyingine analala fresh tu. Sijakwambia usioe huyo single...
  14. knows

    Mwanamke anamaumivu na akikuumiza anakuumiza kweli

    We piga panadol na maji mengi alafu kausha
Back
Top Bottom