Recent content by kmasanja20

  1. kmasanja20

    SoC02 Nilivyobuni kifaa cha kutatua changamoto ya malipo ya bili za Umeme kwa wapangaji

    Ni kweli tumechoka, mawazo mazuri sana mkuu ntayafanyia kazi.
  2. kmasanja20

    SoC02 Nilivyobuni kifaa cha kutatua changamoto ya malipo ya bili za Umeme kwa wapangaji

    Kifaa bado hakijaingia kwenye mfumo wa TANESCO, kitu ambacho nimefanya ni kukiweka kwenye majaribio na kikaonekana kua kinafanya kazi, zaidi kinahitaji maboresho baada ya hapo ni urasimishaji wake ikiwemo kupata ridhaa ya makampuni na mifumo kama TANESCO. Kwa kifupi kipo katika hatua zake za...
  3. kmasanja20

    SoC02 Nilivyobuni kifaa cha kutatua changamoto ya malipo ya bili za Umeme kwa wapangaji

    Ni kweli mkuu, mfumo ukiboreshwa zaidi ya hapa utasaidia sana katika utatuzi wa hizi changamoto za malipo ya bili sio tu za umeme, bali hata za maji hasa kwenye makazi ya wapangaji wengi.
Back
Top Bottom