Recent content by kmasanja

  1. K

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Mtoa post huna akili kabbisa , yaani wewe ni myopia kwa hiyo unaamini Tanzania ni DSM pekee yake,kijijini kwenu bagamoyo au huko mashenzini ndiyo ccm tupu
  2. K

    Raila Odinga wa Tanzania apatikana

    Siasa za Afrika mashariki hususani Kenya na Tanzania ni tofauti sana na nchi nyingine afrika, mwaka 2002, aliyeitwa profesa wa siasa za Kenya Mzee Daniel Arap Moi alishuhudia anguko kubwa la KANU baada ya kukaidi aliyoelezwa na watu wake kuwa mgombea anayemtaka ambaye sasa ni rais wa kenya Uhuru...
  3. K

    Mashujaa wangu kwa miaka minne mfululizo

    Kila mwaka Tanzania kuna sherehe ya kumbukumbu ya mashujaa, huwa tunawakumbuka mashujaa wetu kati nyanja mbalimbali. Tangu mwaka 2012 nimekuwa nikitaja mashujaa wangu wa mwaka , nikiwa na best wangu kipenzi Mtela Mwampamba na Dotto Rangimoto Chamchua, kimeta Wa Mpui na boss wa tanuru kipindi...
  4. K

    Zitto na ACT yako mjiandae kisaikolojia

    kwa katiba ipi ----- wewe, yaani baqvicha hamna akilki kabisa , hata inayopendekezwa haipo hivyo
  5. K

    Zitto na ACT yako mjiandae kisaikolojia

    kwa taarifa tu mkileta mambo ya kijinga tunapiga za ukabila ,magufuri anashinda na zitto atashinda kwao na ninyi na uchaga wenu mkashinde kwenu
  6. K

    Zitto na ACT yako mjiandae kisaikolojia

    Muwe mnajadili vitu vyenye akili , huyu naye anajiita great thinker kwa kusoma e mail ya kutengeneza tena yenye font tatu tofauti , sidhani kama kaka ulisoama hata std 7
Back
Top Bottom