Habari wanaJF mimi ni mfanyabiashara wa kutengeneza masofa natafuta mafundi wawili wa kuvesha makochi na wakushona vitambaa vya makochi mwenye ujuzi huo tafadhali anipigie kwa namba hii 0768078727 au aniPM. Asante!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenishikia bango kwan ukiwa new member au new id kinaharibika nini[emoji38]maana naona mapovu kama yote...haya nawasubiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafuta fundi seremala mchapa kazi ambae tunaweza kuanza kufanya kazi wote kwenye biashara yangu mpya ambaye yuko interested aniPM tuzungumze.Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.