Bado kuna vyuo vikuu vinasumbua hapa nchini, Nasikia kule Moshi kuna hiki chuo cha Mwenge hakijawapa wanafunzi pesa ya kujikimu leo siku ya kumi. Hii taarifa ni kweli? Kama kuna ukweli ulizeni tuwaangalie hawa watu. Wanafunzi wanakula mapera.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.