Recent content by kivindo boy

  1. kivindo boy

    Hivi lile tangazo ndani ya Mabasi ya Mkoani kuwa usinywe wala usile kitu chochote kutoka kwa mtu usiyemjua ni sahihi?

    Navuta picha miaka ya nyuma kidogo jinsi mahusiano ya mtu mmoja mmoja bila kujuana dini wala kabila kwenye vyombo vya usafiri hasa hasa safari za mikoani yalikua hayana kutiliana shaka kamwe. Cha kushangaza siku hizi mahusiano yamevurugika na kupoteza uaminifu kabisa mpaka tunafikia hatua ya...
  2. kivindo boy

    SoC01 Mazoea yanavyoongeza migogoro ya ardhi Tanzania

    MAZOEA YANAVYOONGEZA MIGOGORO YA ARDHI TANZANIA Ni siku nyengine tena napata wasaa wa kutembelea ndani ya viunga vya mahakama ya Ardhi ndani ya mkoa wa Morogoro kikubwa kinachonileta hapa ni kuja kushuhudia shughuli za kila siku na pia kuja kumtembelea rafiki yangu ambaye ni karani hapa...
Back
Top Bottom