Sasa utateseka Hadi lini...!?? Ndio upendo wa mshumaa sasa huo...unataka uwaridhishe wengine huku wewe unaumia....endelea kujinafikia nafsi Yako....unatafuta pesa Yako then pesa Yako ikutese huo unafiki kwangu hauna nafasi
Mimi nashangaa sana watu wenye vitu vyao halafu vinawatesa....kwanini usijisikie huru na Mali yako!??? Mimi bhana upendo wa mshumaa Sina kwamba niwake huku nateketea hiyo big noo...kama ni Mimi ningewaambia TU nikitoka kazini siendi home Moja kwa Moja Niko na ratiba zangu nyingine....nani...
Si uende hospital kea maelezp zaidi..Hadi napata hasira kama vile Mimi ndio mwenye mimba Yako..pesa hutaki kutoa! Kuelewa ni mgumu! Nrnda hospital wewe na mywako ili mpate elimi vizuri
Ninavyoongea hapa Niko na kibendi jamaa kasema hataki mtoto,,yaani hana doubt yoyote ana uhakikq mimba ni yake ila kasema hajawahi kuwaza kuzaa na Mimi...alikuwa amenitamani tu kwa sex😓😓😓😓
Hamna utofauti inategemea TU na mazingira inapotumika....kwa mfano ukiwa kwenye bidhaa mpya masokoni hasa hasa kariakoo winga ndio hutumika sana...ila ukija kwenye uuzaji wa mashamba, magari na vitu vingine used labda dalali ndio hutumika zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.