Recent content by kitoto wa vitoto

  1. kitoto wa vitoto

    Nyumba ya kuishi au ya biashara/kupangisha

    Wakuu naomba tushauriane hapa Nina eneo langu Arusha /Moshono siyo mbali na mji Eneo ni 22 kwa 24 je nijengenyumba ya kuishi au nyumba za kupanga? NB Sina nyumba nimepanga Na je kama ni nyumba za kupanga nijenge katika mfumo gani ili nipate Kodi nyingi zaidi?
  2. kitoto wa vitoto

    Mtaji wa 46M faida 540,000, pia mtaji wa 45M faida 576,000

    Dah mtaji mkubwa sana faida kidogo Mimi nadhani ufikirie upya Ila hapo hapana
  3. kitoto wa vitoto

    Uendeshaji wa Biashara ya saluni ya kike ya kisasa

    Ni namna gani nitadhubiti wafanyakazi wasiniibie
  4. kitoto wa vitoto

    Natamani nichukue maamuzi magumu sana

    Pole sana mkuu, chunguza chanzo ni nini, baada ya hapo utajua pa kuanzia Kuwa sehemu ya familia yako kupatana (muunganishi na mpatanishi)
  5. kitoto wa vitoto

    Miti ya mbao na upatikanaji wake

    Nawasalimia ndugu zangu, Poleni kwa changamoto ya mvua Nina shamba langu dogo hapo Chalinze, nataka nilipande miti pembeni kulizunguka. Je, huu ni msimu mzuri wa kuotesha miti? Je, ni miti gani mizuri yenye manufaa baadaye? Je, kwa hapo Chalinze inapatikana au ni bora nitafute kwingine...
  6. kitoto wa vitoto

    Njooni tuambizane ukweli wamiliki, wafanyakazi na wateja

    Kwanza kabisa nawasalimia kwa salamu ya pamoja, poleni na pilika za kutwa nzima, Karibuni unaweza kuondoka hapa na chochote, Leo nitawazungumzia watu wa makundi ya aina 3 1. WAMILIKI 2. WATEJA 3. WAFANYA KAZI 1: WAMILIKI, kundi hili ni watu wenye uwezo kidogo au sana, ndio wanaotufanya tuishi...
  7. kitoto wa vitoto

    Njooni tuambizane ukweli, wamiliki, Wafanyakazi na wateja wa hoteli, migahawa, Mama Ntilie, Baa na sehemu nyinginezo

    Kwanza kabisa nawasalimia kwa salamu ya pamoja, poleni na pilika za kutwa nzima, Karibuni unaweza kuondoka hapa na chochote, Leo nitawazungumzia watu wa makundi ya aina 3 1. WAMILIKI 2. WATEJA 3. WAFANYA KAZI 1: WAMILIKI, kundi hili ni watu wenye uwezo kidogo au sana, ndio wanaotufanya tuishi...
  8. kitoto wa vitoto

    Natafuta Kijana wa kuuza duka la jumla na rejareja Dodoma

    Mkuu kwenye biashara hakuna wa kiume au wa kike Cha kuomba mungu akupe mwenye afadhali Niliwahi kuajiri wa kike nilijuta' anatongozwa na kila mtu akajiona kinara kazi kuchart tu kushinda mitandaon hata vumbi hafuti Wala hapangi vitu kwa mpangilio Na akipenda boy anaweza kumuonga pesa zangu pia...
  9. kitoto wa vitoto

    Je kahawa au migomba/ndizi?

    Wakuu poleni na pilika za kutwa Hongereni sana kwa kumaliza siku salama, Naomba kuuliza ni wapi kuna mashamba ya bei rahisi yanayostawi kahawa na migomba? Ambayo hayana ukame sana natamani nikifikisha miaka 35 au 40 niachane na kuajiriwa rasmi. Kwa nini natafuta ya Bei rahisi? N kwa sababu...
  10. kitoto wa vitoto

    Je, ni kahawa au migomba?

    Kukatishana tamaa nilipaacha zaman
  11. kitoto wa vitoto

    Je, ni kahawa au migomba?

    Una maana gani?
  12. kitoto wa vitoto

    Je, ni kahawa au migomba?

    Huko hakuna ukame mkuu? Je ekari moja yaweza kuwa sh ngapi? Mazao yapi yanastawi huko?
Back
Top Bottom