Wakuu naomba tushauriane hapa
Nina eneo langu Arusha /Moshono siyo mbali na mji
Eneo ni 22 kwa 24 je nijengenyumba ya kuishi au nyumba za kupanga?
NB
Sina nyumba nimepanga
Na je kama ni nyumba za kupanga nijenge katika mfumo gani ili nipate Kodi nyingi zaidi?
Nawasalimia ndugu zangu,
Poleni kwa changamoto ya mvua
Nina shamba langu dogo hapo Chalinze, nataka nilipande miti pembeni kulizunguka.
Je, huu ni msimu mzuri wa kuotesha miti?
Je, ni miti gani mizuri yenye manufaa baadaye?
Je, kwa hapo Chalinze inapatikana au ni bora nitafute kwingine...
Kwanza kabisa nawasalimia kwa salamu ya pamoja, poleni na pilika za kutwa nzima,
Karibuni unaweza kuondoka hapa na chochote,
Leo nitawazungumzia watu wa makundi ya aina 3
1. WAMILIKI
2. WATEJA
3. WAFANYA KAZI
1: WAMILIKI,
kundi hili ni watu wenye uwezo kidogo au sana, ndio wanaotufanya tuishi...
Kwanza kabisa nawasalimia kwa salamu ya pamoja, poleni na pilika za kutwa nzima,
Karibuni unaweza kuondoka hapa na chochote,
Leo nitawazungumzia watu wa makundi ya aina 3
1. WAMILIKI
2. WATEJA
3. WAFANYA KAZI
1: WAMILIKI,
kundi hili ni watu wenye uwezo kidogo au sana, ndio wanaotufanya tuishi...
Mkuu kwenye biashara hakuna wa kiume au wa kike Cha kuomba mungu akupe mwenye afadhali
Niliwahi kuajiri wa kike nilijuta' anatongozwa na kila mtu akajiona kinara kazi kuchart tu kushinda mitandaon hata vumbi hafuti Wala hapangi vitu kwa mpangilio
Na akipenda boy anaweza kumuonga pesa zangu pia...
Wakuu poleni na pilika za kutwa
Hongereni sana kwa kumaliza siku salama,
Naomba kuuliza ni wapi kuna mashamba ya bei rahisi yanayostawi kahawa na migomba?
Ambayo hayana ukame sana natamani nikifikisha miaka 35 au 40 niachane na kuajiriwa rasmi.
Kwa nini natafuta ya Bei rahisi?
N kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.